Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,433
- 283,714
- Thread starter
- #21
Kama hujaona alichokifanya Mbowe CHADEMA, sikosei utakuwa ni mgonjwa. MTU mwenye akili timamu hahitaji hata kuuliza hilo swali.
baada ya miaka 10 , hali ni hii !
Kama hujaona alichokifanya Mbowe CHADEMA, sikosei utakuwa ni mgonjwa. MTU mwenye akili timamu hahitaji hata kuuliza hilo swali.
swali , je mbowe ni kiona mbali au la ? Kwanini ?
mbowe ni mkurunzinza wa tz
Mbowe amefanya nini Chadema zaidi ya kujimilikisha Chama kwa kukiondoa kipengele cha ukomo wa uongozi?
Akili zako za kuazima kamwe haziwezi kusitiri kichwa chako,hujielewi wala hujitambui ni shiiiiiida kwani unautaka wenyekiti wa chadema?mbona hukugombea nafasi hyo?au raha yako ni mbowe kutokugombea?
baada ya miaka 10 , hali ni hii !
Mbowe amefanya nini Chadema zaidi ya kujimilikisha Chama kwa kukiondoa kipengele cha ukomo wa uongozi?
Kiona upande
Kwa mtazamo wako huyo jamaa ukisoma post zake yuko timamu? Sie tunamwona kama Mr BeanKama hujaona alichokifanya Mbowe CHADEMA, sikosei utakuwa ni mgonjwa. MTU mwenye akili timamu hahitaji hata kuuliza hilo swali.
Mainterahamwe yako Burundi kule kiongozi anakobadili katiba aendelee kuongoza. Hapa tanzania Interahamwe ni wale waliofanya kama Nkurunziza.Kama hajafanya lolote inakuwaje tena Maintarahamwe mnaendelea na kampeni zenu chafu za kuichafua CHADEMA na kutumia mabilioni ya pesa kupitia wasaliti ili muisambaratishe? Mnaogopa nini!?
habari ndio hiyo mkuu .aseee maisha bora kwa kila mtz....Mbowe ni simba haswa yaani hakuna jitu lenye ujasiri kama yule ni aina ya akina Fidel sasa wanatoweka kwa kasi inabid alindwe haswa kama vifaru..ndio maana leo hii CDM mbele kwa mbele kwa kifup hanunulk yule