Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,449
- 283,760
Mei 8 , 2005 Freeman Mbowe , Mwenyekiti wa CHADEMA anaeleza kuwa Jakaya Mrisho Kikwete siku tatu zilizopita aliteuliwa na mkutano mkuu wa CCM kuwa mgombea Urais wa chama hicho.Hana ubavu wa kuibadili CCM na mfumo wake wa kiutawala ambao anasema umezorotesha maendeleo ya nchi.
Mbowe aliongeza kuwa watu walioshabikia uteuzi huu wa Kikwete watajuta atakapochaguliwa kuwa Rais .
Swali kwa wadau; Je, Mbowe ni kiona mbali au la? Kwanini ?
Mbowe aliongeza kuwa watu walioshabikia uteuzi huu wa Kikwete watajuta atakapochaguliwa kuwa Rais .
Swali kwa wadau; Je, Mbowe ni kiona mbali au la? Kwanini ?