Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Hakuna ataweza kuamini Kile Mungu anaenda kukifanya before October. 2025. Narudia tena hakuna atakaye amini. Mungu wa Taifa la Tz anajambo lake before October
Jambo gani hilo mkuu lilitokea before October?
 
Yohana wa Patmo hakumuua Ben Saanane

Huyu ni moja ya wauaji waliokuwa wanatumiwa na Mwendazake. Saivi kachanganyikiwa huamini kan Mwendazake aliyekuwa akimlipa kufanya ufedhuli hatupo. Kwa iyo amekalia ramli tu

Usimshangae sana ni msongo wa mawazo tu. Tu mshauri tu kuwa Samia ndo Rais wake Hadi 2030 na alikubali hilo
Lord Denning kumbe tangu 2022 unafahamu kuwa Rais Samia ni hadi 2030? Mbona sasa unawadanganya nyumbu wenzako??
 
Back
Top Bottom