Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Mimi Binafsi nadhani huyu Hawa Mniga alikuwa mgombea wa Urais wa (TFF) avhunguzwe, Kwa nini achunguzwe.
Unaweza kusema huyu dada ndiye aliyezuia baadhi ya wagombea, kufanya wakose sifa ya kugombea kwa mujibu wa kanuni zilizotungwa na (TFF).
Rais Karia na huyu dada ndio waliopata udhamini (Endorsement) kubwa zaidi kuliko wagombea wengine. Karia alipata zaidi ya wajumbe 16+ na huyu dada akapata wajumbe zaidi ya 6+
Idadi ya wajumbe wanaotoa udhamini kwa wagombea una kikomo, hivyo kupelekea wagombea wengine kukosa udhamini wakiwemo Ally Mayai na yule wa Efm.
Hilo sio tatizo Ila Tatizo lilikuja baada ya wagombea kubaki (3) yaani
Karia
Hawa Mniga na
Mgeusa.
Baada ya wao pia kuenguliwa na kumbakiza mgombea (1) Karia, huyu dada alihojiwa akasema anakubali kuenguliwa kwa sababu ni kweli hakuwa na vigezo. Tujiulize kuhusu hata maswali
1). Alijua hana vigezo kwa nini aligombea?
2). Alipataje udhamini haraka haraka huku wagombea wengine tena wenye majina makubwa wakikosa?
3). Kuna uhusiano gani kati ya mgombea pekee aliyesalia na huyu dada?
4). Hakukuwa na makusudi ya kumuweka huyu dada ili wagombea wengine wenye Sifa zaidi yake wakose endorsement?
Hayo maswali majibu yake ndiyo uchunguzi unapotakiwa kuanzia.
Unaweza kusema huyu dada ndiye aliyezuia baadhi ya wagombea, kufanya wakose sifa ya kugombea kwa mujibu wa kanuni zilizotungwa na (TFF).
Rais Karia na huyu dada ndio waliopata udhamini (Endorsement) kubwa zaidi kuliko wagombea wengine. Karia alipata zaidi ya wajumbe 16+ na huyu dada akapata wajumbe zaidi ya 6+
Idadi ya wajumbe wanaotoa udhamini kwa wagombea una kikomo, hivyo kupelekea wagombea wengine kukosa udhamini wakiwemo Ally Mayai na yule wa Efm.
Hilo sio tatizo Ila Tatizo lilikuja baada ya wagombea kubaki (3) yaani
Karia
Hawa Mniga na
Mgeusa.
Baada ya wao pia kuenguliwa na kumbakiza mgombea (1) Karia, huyu dada alihojiwa akasema anakubali kuenguliwa kwa sababu ni kweli hakuwa na vigezo. Tujiulize kuhusu hata maswali
1). Alijua hana vigezo kwa nini aligombea?
2). Alipataje udhamini haraka haraka huku wagombea wengine tena wenye majina makubwa wakikosa?
3). Kuna uhusiano gani kati ya mgombea pekee aliyesalia na huyu dada?
4). Hakukuwa na makusudi ya kumuweka huyu dada ili wagombea wengine wenye Sifa zaidi yake wakose endorsement?
Hayo maswali majibu yake ndiyo uchunguzi unapotakiwa kuanzia.