Ndg yangu siyo kwamba watu wamekata tamaa, ni kwamba daftari la kudumu mara ya mwisho limerekebishwa mara ya mwisho mwaka 2009. Huu ni muda mrefu kwa watu wa vijijini kutunza kiparata wakati mara nyingi matumizi yake ni uchaguzi tu.
Ni kuwacharaza viboko kwa kwenda mbele