Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Planning tu ni mbovu hapa kwetu,hao wataalam wa mipango miji hawatumii ipasavyo hizo elimu zao na sio wabunifu kabisa.Pia serikali inamchango mkubwa katika hili tatizo,ina waweka hao wataalum maofisini tu kula mishahara ya bure,hawawapati hata vijisafari kwenda nchi zingine kuangalia jinsi gani wenzao wanapanga miji yao.kwahiyo tukiwa na watu na mfumo wa namna hii tusitegemee kabisa kwamba tunaweza kuona mabadiliko tunayo yategemea.
Nimepita mahara furani leo asubuhi,pale Kigamboni kama 2 0r 1.5 km kutokea kwenye Ferry kuna watu wanajenga Mtalo wa maji pembeni ya barabara huu sasa ni mwezi wa 2 au 3 hawajafika hata mita 500,nikajiuliza "huku si ndio kwny mradi huo wa MJI MPYA sasa hiki nini kinaendelea?" nilikua nategemea labda watakua wanachimba kuweka underground train for that matter,kumbe mtaro!!
Sasa namna hii sidhani kama tunania za kweli na yale tunayo yasema au kusemwa na Viongozi wetu
Nimepita mahara furani leo asubuhi,pale Kigamboni kama 2 0r 1.5 km kutokea kwenye Ferry kuna watu wanajenga Mtalo wa maji pembeni ya barabara huu sasa ni mwezi wa 2 au 3 hawajafika hata mita 500,nikajiuliza "huku si ndio kwny mradi huo wa MJI MPYA sasa hiki nini kinaendelea?" nilikua nategemea labda watakua wanachimba kuweka underground train for that matter,kumbe mtaro!!
Sasa namna hii sidhani kama tunania za kweli na yale tunayo yasema au kusemwa na Viongozi wetu