Maoni ya Membe kuhusu sakata la Charlie Hebdo!

Maoni ya Membe kuhusu sakata la Charlie Hebdo!

Nigeria ina JESHI kubwa

wanashinda nin kupambana na hiko kikundi cha boko haramu??

wanashindwa nin kuomba misaada nje ya nchi kutoka kwa western countries kupambana na hao boko haram??

whats the difference between boko haram and isis??

why america and its allies wanaweza kutuma majeshi kwenda kupambana na isis lakin wanashindwa kutuma majesh kwenda kupambana na bokoharam??

au kwa kuwa huko hakuna UTAJIRI WA MAFUTA NA GESI KAMA ILIVYO SYRIA??

UNAFIKI WA HALI YA JUU.
 
Nianze kuomba uhai wa thread hii kwa watukufu mods!!

Ni majuma kadhaa yamepita toka sakata la muendelezo wa mauaji ya kigaidi huko paris.ni wazi kuwa sakata hili la mauaji dhidi ya kina "Ibra radi washokera" au kina "kipanya" wa jarida la Charlie hebdo.

Ni wazi sakata hili limeamsha hisia tofauti tofauti kutoka kwa mtu mmoja mmoja,taasisi,viongozi wa kidini na kisiasa duniani wakiwemo viongozi mahasimu Mahmood Abass vs Benjamin Netanyahu.

Ni ukweli usiopingika kuwa Tanzania inao utamaduni wa kupinga na kukemea mauaji au ugaidi dhidi ya raia duniani.

Ni wazi vile vile Tanzania kupitia waziri wa mambo ya nje ndugu Membe amejitokeza mara kadhaa kuonesha msimamo wa Tanzania dhidi ya uharamia au ugaidi mfano mabomu ya Israel yalioua watoto wa kipalestina.

Kwa uzoefu huu mfupi ningependa kujua Waziri Membe au niseme Tanzania ina maoni gani juu ya mauaji ya waandishi wa Charlie Hebdo na matukio yaliyojiri ikiwemo kuchorwa tena kwa kikatuni cha mtume?

Bora abaki kimya huko aliko tena wala asijaribu kubwabwaja maana kwa ninavyomjua kwa kukurupuka akitoa tamko hapa kama nchi tutakuwa tumekwisha. yule mzee ni hopeless kabisa sijui hata Kikwete alimtoa wapi kumpa wizara nyeti kama ile.
 
hayo yooote uliyoyaongea mimi naona ni utumbo tuh

tuanzie na hilo nililowekea alama kwanza

bible yako inasema kwamba yeyote aliewambwa msalabani amelaaniwa si ndiyo??

Kwa mujibu wenu jesus amewambwa msalabani,,

so to say kwamba yeye kalaaniwa??

Unamfuate mungu alielaaniwa??


Pia katika kuongezea hapo kwa mujibu wenu jesus was white na ndivyo mnavyomproclaim ktk mapokezi yenu

hizi wewe hujiulizi mtu ambae alishuka middle east aonekane kushikiwa bango na wazungu huko roma italy kana kwamba wao ndio wahusika wakuu huku aonekane kukanwa na wenyewe huko middle huko especially israel??maana israel kama israel hawamkubali jesus na hawaufuati ukristo,,wao wanafuata judaism kama mfumo wao,wazungu na middle east wapi na wapi??

OK niliyoongea ni utumbo, ulichoandika wewe ni kile kilicho ndani ya utumbo.
Kama ungekuwa ni mkristo ungeelewa thamani ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo, elewa kwamba kutundika Bwana wetu Yesu Kristo Msalabani ilishatabiriwa, pia Yesu Kristo hakuwa wa kwanza kusulibiwa msalabani, adhabu hii ilikuwepo hata kabla Yesu Kristo hajazaliwa, waliomhukumu walichagua kusulibiwa kama adhabu ya juu kwani aliyesulibiwa ilisemwa amelaaniwa. Upeo wa kudhani Yesu Kristo atalaanika kwa kusulibiwa haukutofautiana na wewe unayeishi kwa utumwa wa SHARIA.
 
Kuna kitu kintwa political correctness, hivyo ninamushauri Membe aseme hivi.

Tanzania inalaani kwa nguvu zote mauaji ya waandishi wa kijarida cha Charlie Hebdo, Kitendo hicho ni ugaidi ambao inabidi ulaaniwe kwa nguvu zote. Waliofanya mauaji hao sio Waislamu bali wahuni wachache wanaotumia mgongo wa Uislamu kufanya uhalifu.

Pili Tanzania inalaani kwa nguvu zote, kitendo cha waandishi wa Charlie Hebdo kuchora vikatuni vinavyo mdhihaki mtume Mohammed SAW. Kitendo hicho ni provocation kwa waislamu. Tanzania kama nchi inayoamini uhuru wa kuabudu imepiga marufuku kuigiza vikatuni hivyo nchini ili kulinda mshikamano na amani.
 
Twende pole pole,umeutaka huu mjadala wewe mwenyewe.

KUWAMBWA KWA YESU KRISTO MSLABANI ILITABIRIWA SAWA KAMA UNAVYOSEMA

LETS SAY ITS TRUE,,

KIPINDI INATABIRIWA HIVYO DUNIA ILIKUWEPO NA WATU WALIKUWA KAMA KAWAIDA

KUNA KIZAZI KIKUBWA SANA KILIKUWAPO NA KILISHAPITA KUANZIA KWA ADAMU,ABRAHAM,JACOB,ISAAC NA WENGINEO WEENGI KABISA,

KWA MUJIBU WAKO JESUS IS GOD SI NDIYO??

JESUS NDIE MUUMBA WA HII DUNIA NA KADHALIKA

KIPINDI HICHO WAKATI DUNIA IPO NA INAENDELEA NA PILIKA ZAKE,,YEYE ALIKUWA WAPI??

NA KIPINDI ALIPOSULUBIWA NA KUFA AS GOD,DUNIA HII NAN ALIKUWA ANAISIMAMIA???

MUNGU GANI ANAWEZA KUPIGWA NA KUFA ILI HALI DUNIA YAKE ALIYOIUMBA IKIENDELEA NA PILIKA ZAKE??

NAULIZA HIVYO KWA SABABU UNASEMA KWAMBA JESUS NDIE MUNGU MKUBWA KABISA,NA NI BWANA WA MABWANA AU HILI SIO KWELI??


Umeu
OK niliyoongea ni utumbo, ulichoandika wewe ni kile kilicho ndani ya utumbo.
Kama ungekuwa ni mkristo ungeelewa thamani ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo, elewa kwamba kutundika Bwana wetu Yesu Kristo Msalabani ilishatabiriwa, pia Yesu Kristo hakuwa wa kwanza kusulibiwa msalabani, adhabu hii ilikuwepo hata kabla Yesu Kristo hajazaliwa, waliomhukumu walichagua kusulibiwa kama adhabu ya juu kwani aliyesulibiwa ilisemwa amelaaniwa. Upeo wa kudhani Yesu Kristo atalaanika kwa kusulibiwa haukutofautiana na wewe unayeishi kwa utumwa wa SHARIA.
 
Watu weengi wanauawa HUKO NIGERIA NA HAWA MAGAIDI WALIOWATENGENEZA WAO WENYEWE NATUSKIII VIONGOZI WA DUNIAN HAO WANAOJIITA VIONGOZI WA DUNIA WAKITOA TAMKO,

WATU WANAUAWA NA MAGAIDI WA ISIS NA JOSEPH KONY WITH HIS L.R.A MAELFU KWA MAELFU HATUSKII MATAMKO YAKITOLEWA,

WATU WANAULIWA NA MAGAIDI WA ISRAEL NA USA HUKO MIDDLE EAST MAELFU KWA MAELFU HATUSKII MATAMKO,

NDUGU ZETU WAMEULIWA HUKO LIBYA NA KUUWAWA KIHARAMU KIONGOZ MUAMAR GADAFI HATUJAONA DUNIA HII IKITOA MATAMKO,

KUUWAWA LEO KWA HAO WATU 12 HUKO FRANCE ETI KWA SABABU ZAO ZAKUJITAKIA ZA KUTENGENEZA HATE NDAN YA JAMII WANATAO TAMKO NA MATAMKO CHUNG NZIMA??

SIKU DUNIA IKIACHA UNAFIKI NA KUSIMAMIA KWENYE HAKI NDIPO HUU UDHALIM UTAPOKWISHA

DUNIA IACHE UNAFIKI

KILA UMWAGAJI DAMU USIO HALALI UNAPASWA KUKEMEWA HAJALISHI UNAFANYWA WAPI NA NANI

HAWA WESTERN COUNTRIES NDIYO CHANZO CHA UMWAGAJI WA DAMU NDAN YA DUNIA HII

WAMEDEPLOY MAJESHI YAO NA KUVUKA MIPAKA KISHA KWENDA KATIKA NCHI ZISIZO ZAO KUTENGENEZA CHAOS ZISIZOKWISHA

WAKISHINDWA KUHANDLE OUTCOMES WANATAFUTA UCHOCHORE WA KUTOKEA

HAIKUBALIKI
jihadist sometimes akili yako inampita professeri kikwete na membe combined...
 
Nadhani kura zinazotafutwa ni za waislam kura za wakristu wanauhakika nazo na hata kama hawana uhakika nazo, Duniani kote inafahamika dini yenye misimamo mikali ni ipi.

Usipate shida juu ya hilo mkuu, huwezi sikia kauli ya yeyote juu ya hilo. Tunaogopa kuwaudhi wenzetu Waislam labda ingekuwa Antibalaka wamelipua huko Macca ungesikia Sauti kali ya Membe huku "Mvua ikinyesha"...!!!!!!

BACK TANGANYIKA

Your thread is very strong!
 
Twende pole pole,umeutaka huu mjadala wewe mwenyewe.

KUWAMBWA KWA YESU KRISTO MSLABANI ILITABIRIWA SAWA KAMA UNAVYOSEMA

LETS SAY ITS TRUE,,

KIPINDI INATABIRIWA HIVYO DUNIA ILIKUWEPO NA WATU WALIKUWA KAMA KAWAIDA

KUNA KIZAZI KIKUBWA SANA KILIKUWAPO NA KILISHAPITA KUANZIA KWA ADAMU,ABRAHAM,JACOB,ISAAC NA WENGINEO WEENGI KABISA,

KWA MUJIBU WAKO JESUS IS GOD SI NDIYO??

JESUS NDIE MUUMBA WA HII DUNIA NA KADHALIKA

KIPINDI HICHO WAKATI DUNIA IPO NA INAENDELEA NA PILIKA ZAKE,,YEYE ALIKUWA WAPI??

NA KIPINDI ALIPOSULUBIWA NA KUFA AS GOD,DUNIA HII NAN ALIKUWA ANAISIMAMIA???

MUNGU GANI ANAWEZA KUPIGWA NA KUFA ILI HALI DUNIA YAKE ALIYOIUMBA IKIENDELEA NA PILIKA ZAKE??

NAULIZA HIVYO KWA SABABU UNASEMA KWAMBA JESUS NDIE MUNGU MKUBWA KABISA,NA NI BWANA WA MABWANA AU HILI SIO KWELI??


Umeu

John 1:1-3
Hapo mwanzo alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye neno alikuwa Mungu. 2 Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu. 3. Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.

"Neno": Yesu

Kwanza tunatazama tamshi Neno "Hapo mwanzo, Alikuwako Neno" jambo la muhimu zaidi ya kujua juu ya hili Neno linapatikana katika aya ya 14: "Na Neno likafanyika mwili, akakua miongoni mwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na Kweli." Neno inamaanisha Kristo Yesu.

Kwa Nini "Neno"?

Lakini yafaa tuulize tena, kwa nini aliamua kuita Yesu "Neno"? "Hapo mwanzo alikuwako Neno." Jibu langu kwa hili swali ni hili: Yohana anamwita Yesu Neno kwa sababu alikwisha kuona maneno ya Yesu kama ukweli wa Mungu na maumbile ya Yesu kama ukweli wa Mungu katika njia ya kijumla mpaka Yesu mwenyewe-katika kuja kwake, na huduma yake, mafundisho yake, kifo chake na kufufuka-alikuwa Neno la mwisho na uamuzi wa Mungu. Ama liweke hivi: yale Mungu alikusudia kutuambia sio tu yale Yesu alisema, lakini yule Yesu alikuwa na yale aliyoyatenda. Maneno yake yalimweleza wazi na huduma yake. Lakini Yeye mwenyewe na huduma yake ndio ukweli kamili Mungu alikuwa anadhihirisha. Mimi ni kweli Yesu akasema (Yohana 14:6)

2) Kiini cha Utambulisho Wake

Mstari 1, mwishoni: "Neno alikuwa Mungu." Alama mojawapo katika Injili hii ni kuwa mambo yenye uzito mkuu yanaletwa kwa maneno rahisi sana. Haingeweza kuwa rahisi zaidi ya hii-na haingekuwa na uzito zaidi. Neno, ambaye alifanyika kuwa nyama anaishi kati yetu, Yesu Kristo, alikuwa, na bado ni Mungu.




 
Kuna uislam, kuna mfuasi wa dini ya kiislam, ugaidi na siasa...jua bas kutofautisha haya mambo...siasa isitumie dini ya kiislam kama sababu ya kutimiza dhamila zao...na uislam sio ugaidi...wala hairuhusu ugaidi...mtaelewa lin haya mambo jmn? Tumechoshwa na kelele na kejeli za ajabu na dharau juu ya dini hii

Ni kweli, mbona wakiristu na wakiristo wengi tu ni magaidi? Uislam ni dini nzuri sana tu. Mtume Muhamd
 
Tatizo waislamu wenzetu wengi ni akina kajamba nani shule hatuna na njaa inakaribia kutuua hata ukisema tuungane haiwezekani kwa kua hatuna akili hiyo na tunapelekwa kama nguruwe wa pori na wakristu wanatuchezesha wanavotaka shkh

Umemsoma WIN8! Amewashauri muwatarget wakristo wote, unajua kwanini? Mkishawamaliza wakristu wote pepo ni yenu kama mnavyoaminishwa katika mafundisho yenu! Boko Haramu, Al Shabab, Al Qaeda, sijui Panya road, nk. Jipangeni muanze kazi, Kama mkihitaji mafunzo ya kigaidi, mimi nipo Lagos nitawasaidia kuwaleta Boko haramu japo 2 kwa gharama zangu, kuhusu tindikali, msipate shida ipo zenji ya kumwaga, wasilianeni na kile kikundi cha kuwatoa watu usingizini sijui kinaitwaje, "Faiza foxy" atawatajia jina. Mkisha wamaliza wakristo wote bomoeni makanisa mjenge shule za watoto wenu.
 
Hii dunia haiko fair same thing zinahappen nigeria na boko haram wanaua maelfu ya ndugu zetu, kenya hapo alshabab wanafanya same thing ila leo coz imehapen france na ni dunia ya kwanza watu wamestuka na ww unataka membe atoe tamko!!!

we should not get involved or pulled into it just 18 people dies y should the government make a statement pipo around the world are dying in their thousands and no body is giving any statement y should we care for this that happen in europe, apo kenya kila cku watu wanauawa na al shabab, syria, iraq, palestine pipo are dying etc

afterall human beings inevitably dies!!!
 
Kuna kitu kintwa political correctness, hivyo ninamushauri Membe aseme hivi.

Tanzania inalaani kwa nguvu zote mauaji ya waandishi wa kijarida cha Charlie Hebdo, Kitendo hicho ni ugaidi ambao inabidi ulaaniwe kwa nguvu zote. Waliofanya mauaji hao sio Waislamu bali wahuni wachache wanaotumia mgongo wa Uislamu kufanya uhalifu.

Pili Tanzania inalaani kwa nguvu zote, kitendo cha waandishi wa Charlie Hebdo kuchora vikatuni vinavyo mdhihaki mtume Mohammed SAW. Kitendo hicho ni provocation kwa waislamu. Tanzania kama nchi inayoamini uhuru wa kuabudu imepiga marufuku kuigiza vikatuni hivyo nchini ili kulinda mshikamano na amani.

you cant eat your cake and still have it tooo....... lazxima a pick one side, maana kwa maelezo yako analaan kila upande of which si sahihi anatakiwa alaan upande mmoja na kuteteas mwingine kwamba either aseme

1. analaan kitendo cha magaid kuua waandishi wa habari kwan walikua wanatimiza wajibu na haki yao ya kujieleze bila mipaka kwa sababu kwa ninavyojua mm hata kikatiba freedom of expression haina mipaka unless iwe ni matusi au

2. alaan wachora katuni kwa kua provocative na kusababisha hilo lililotokea period
 
John 1:1-3
Hapo mwanzo alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye neno alikuwa Mungu. 2 Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu. 3. Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.

"Neno": Yesu

Kwanza tunatazama tamshi Neno "Hapo mwanzo, Alikuwako Neno" jambo la muhimu zaidi ya kujua juu ya hili Neno linapatikana katika aya ya 14: "Na Neno likafanyika mwili, akakua miongoni mwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na Kweli." Neno inamaanisha Kristo Yesu.

Kwa Nini "Neno"?

Lakini yafaa tuulize tena, kwa nini aliamua kuita Yesu "Neno"? "Hapo mwanzo alikuwako Neno." Jibu langu kwa hili swali ni hili: Yohana anamwita Yesu Neno kwa sababu alikwisha kuona maneno ya Yesu kama ukweli wa Mungu na maumbile ya Yesu kama ukweli wa Mungu katika njia ya kijumla mpaka Yesu mwenyewe-katika kuja kwake, na huduma yake, mafundisho yake, kifo chake na kufufuka-alikuwa Neno la mwisho na uamuzi wa Mungu. Ama liweke hivi: yale Mungu alikusudia kutuambia sio tu yale Yesu alisema, lakini yule Yesu alikuwa na yale aliyoyatenda. Maneno yake yalimweleza wazi na huduma yake. Lakini Yeye mwenyewe na huduma yake ndio ukweli kamili Mungu alikuwa anadhihirisha. Mimi ni kweli Yesu akasema (Yohana 14:6)

2) Kiini cha Utambulisho Wake

Mstari 1, mwishoni: "Neno alikuwa Mungu." Alama mojawapo katika Injili hii ni kuwa mambo yenye uzito mkuu yanaletwa kwa maneno rahisi sana. Haingeweza kuwa rahisi zaidi ya hii-na haingekuwa na uzito zaidi. Neno, ambaye alifanyika kuwa nyama anaishi kati yetu, Yesu Kristo, alikuwa, na bado ni Mungu.





Does it make sense to you??

hapo mwanzao kulikuwa na NENO,HUYO NENO ALIKUWA NA MUNGU,,NA HUO NENO ALIKUWA MUNGU??

NA HUYO MUNGU AKAMZAA HUYO NENO??

DOES IT MAKE ANY SENSE??

UNADANGANYWA HUKU UNAONA NAWEWE UNAKUBALI??
 
Does it make sense to you??

hapo mwanzao kulikuwa na NENO,HUYO NENO ALIKUWA NA MUNGU,,NA HUO NENO ALIKUWA MUNGU??

NA HUYO MUNGU AKAMZAA HUYO NENO??

DOES IT MAKE ANY SENSE??

UNADANGANYWA HUKU UNAONA NAWEWE UNAKUBALI??

Ningeandika mengi lakini upo kubeza uwezo wa Mungu, mimi naamini Mungu anaweza kuwa vyovyote atakavyo.
 
Mtoa uzi nae ndio walewale tu, the same week ktk ile attack ya charlie hebdo na porte Vincennes. ..north Nigeria 2000 people died.Kwa nini asitoe tamko juu ya wauaji wa huko Nigeria? Big up kwa serikali ya chad coz wameshatuma vikosi nchini cameroon kupambana na wauaji sio kukimbilia kutoa matamko.Then kuna uhuru wa vyombo vya habari yes, lakini uhuru huo una mipaka yake....kukashif dini ya mwingine ni kuingilia uhuru wa mwingine.

Kipindi Membe anatoa matamko mbalimbali kuhusu mambo ya nchi za watu ndicho kipindi hiko hiko watanzania walikuwa wamekwama katikati ya vita huko Kiev.
 
Kuna kitu kintwa political correctness, hivyo ninamushauri Membe aseme hivi.

Tanzania inalaani kwa nguvu zote mauaji ya waandishi wa kijarida cha Charlie Hebdo, Kitendo hicho ni ugaidi ambao inabidi ulaaniwe kwa nguvu zote. Waliofanya mauaji hao sio Waislamu bali wahuni wachache wanaotumia mgongo wa Uislamu kufanya uhalifu.

Pili Tanzania inalaani kwa nguvu zote, kitendo cha waandishi wa Charlie Hebdo kuchora vikatuni vinavyo mdhihaki mtume Mohammed SAW. Kitendo hicho ni provocation kwa waislamu. Tanzania kama nchi inayoamini uhuru wa kuabudu imepiga marufuku kuigiza vikatuni hivyo nchini ili kulinda mshikamano na amani.

Naunga mkono hoja yako.
 
Asante.... Upi mchango wako wewe unayejielewa??

BACK TANGANYIKA

Unajua hii nchi ina uhuru wa kuabudu..Raia wake ambao ni wapiga kula ndio hao hao wana dini zao...kwan wapiga kula wanakua hawana dini? Sasa kila mmoja ana chama anachokiamin yy bila ya kujalisha dini yake..Ndan ya waislam kuna wana CCM, wana CHADEMA na vyama vingine pia. Hata wakristo wapo wana CCM ,CHADEMA na wengineo. Sasa utamzuia vp mtu kufuata anachokiamin na kukipenda? Au kama ni tatizo je nn maana ya demokrasia? Unataka mwenzio apende ukipendacho ww?... Nadhan umenielewa mkuu
 
Unajua hii nchi ina uhuru wa kuabudu..Raia wake ambao ni wapiga kula ndio hao hao wana dini zao...kwan wapiga kula wanakua hawana dini? Sasa kila mmoja ana chama anachokiamin yy bila ya kujalisha dini yake..Ndan ya waislam kuna wana CCM, wana CHADEMA na vyama vingine pia. Hata wakristo wapo wana CCM ,CHADEMA na wengineo. Sasa utamzuia vp mtu kufuata anachokiamin na kukipenda? Au kama ni tatizo je nn maana ya demokrasia? Unataka mwenzio apende ukipendacho ww?... Nadhan umenielewa mkuu

Oooooh, my God so hii ndiyo hoja yako mwenye hoja..!!!!

Sasa unajenga hoja kutokana na hoja gani ndugu mwelewa?? Hivi umetumia muda wako kusoma post yangu uliyoni-quote na kudai sielewi kutu?? Hata kama hukutaka kujielekeza kwenye hoja yangu ungejielejeza kwenye Maoni ya mtoa Hoja (thread) ingekuwa poa tu

Sasa wewe unajenga hoja kwa vitu ambavyo havijajadiriwa hapa jukwaani, Umevitoa wapi mkuu

Btw, Sijakuelewa......!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Wakuu zangu nadhani mada hii inahusu msimamo wetu kuhusu janga lilotokea Ufaransa sasa hii habari ya kuanza kulumbana na kuzungumzia dini imani za watu hata sielewi, maana waloyafanya haya ni mtu/watu mwenye imani kali kama yule mkristu aloua watu kule Norway kwenye park wa jina la dini yake (kristu). Hivi kweli tunaweza kuwahukumu wakristu wote duniani kwa kosa la huyo mtu ama yule Timothy McVeigh.

Ifahamike tu kwamba hawa watu wanapigania nchi zao, iwe kiuchumi ama kiutawala na wameona hapana njia bora zaidi ya kuweka mvuto wa tofauti zao na nchi za magharibi pasipo kuitumia dini. Hii ni political tactics ambayo mjinga pekee ndio atakubali kuuweka Uislaam/Ukristu kuhalialisha matendo ya watu hao.

Katika Uislaam hakuna muumini aitwaye Sunni ama Shia ni majina walopewa kwa sababu wanafuata mafundisho yalotofautiana juu ya yapi ni katika ibada na yapi yasokuwemo kutokana na hadith. lipo kundi la waislaam wasokubaliana na hadith kabisa hivyo hawaitambui Sunni wala Shia wala dhehebu jingne lolote zaidi ya kuisoma Quran na kuachana kabisa na hadith (maisha ya Mtume) kama yalivyosimuliwa na watu.

Vivyo hivyo nadhani hata katika Ukristu wapo wasokubali madhehebu na wanataka kuisoma Biblia kwa nukuu za Yesu alisema nini na mitume walomtangulia walisema nini juu ya neno la Mungu. Maisha ya Yesu ndiyo yaloleta utenganisho mkubwa ndani ya Ukristu maana kila mtu alikuja na hadith kwamba Yesu alifanya hivi ama vile aliruhusu hiki akakataza kile - According to! Yote haya ni mkono wa binadamu unaotuposha sote katika imani zetu na tujihadhali sana.

Kwa hiyo basi, tujihadhali sana na hizi siasa za Udini kwa sababu tukumbuke kwamba Hitler aliwaua wayahudi kwa kutumia imani yake ya dini kwamba wao ndio walimuua Yesu, Vita ya Rwanda, Bosnia, Nigeria na kwingineko kote wajinga fulani wamezitumia dini kuhalalisha ushenzi wao. Na kwa ushenzi wao, leo tunamlaani sote Hitler na sio Ukristu. Kwa nini inapofikia Uislaam tunabadilsiha maneno?

jamani mwee kila siku Marekani kunamtu anaingia sehemu za watu wengi iwe mashuleni, sinema, mahotelini, maofisini kambi za jeshi na kumwaga risasi kuua watu wasokuwa na hatia kisha akajiua mwenyewe mbona haizungumziwi imani za za dini? ama wakaitwa magaidi kama magaidi wengine? Bado hamjiulizi isipokuwa kufuata mnacholishwa na nchi za magharibi?
 
Kwa uzoefu huu mfupi ningependa kujua Waziri Membe au niseme Tanzania ina maoni gani juu ya mauaji ya waandishi wa Charlie Hebdo na matukio yaliyojiri ikiwemo kuchorwa tena kwa kikatuni cha mtume?[/QUOTE]

Ishu ni terrorism, so state will never support terror acts, unless unataka maoni ya membe km presidential race expected candidate na siyo URT foreign minister.
 
Back
Top Bottom