Murukulazo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 574
- 221
mzee wa kukurupuka huyo
Does it make sense to you??
hapo mwanzao kulikuwa na NENO,HUYO NENO ALIKUWA NA MUNGU,,NA HUO NENO ALIKUWA MUNGU??
NA HUYO MUNGU AKAMZAA HUYO NENO??
DOES IT MAKE ANY SENSE??
UNADANGANYWA HUKU UNAONA NAWEWE UNAKUBALI??
OK niliyoongea ni utumbo, ulichoandika wewe ni kile kilicho ndani ya utumbo.
Kama ungekuwa ni mkristo ungeelewa thamani ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo, elewa kwamba kutundika Bwana wetu Yesu Kristo Msalabani ilishatabiriwa, pia Yesu Kristo hakuwa wa kwanza kusulibiwa msalabani, adhabu hii ilikuwepo hata kabla Yesu Kristo hajazaliwa, waliomhukumu walichagua kusulibiwa kama adhabu ya juu kwani aliyesulibiwa ilisemwa amelaaniwa. Upeo wa kudhani Yesu Kristo atalaanika kwa kusulibiwa haukutofautiana na wewe unayeishi kwa utumwa wa SHARIA.
Mito ya pombe na mabikira saba! Tatizo waislam hata quran yao hawaikubali! Wamwache mtume apate thawabu ya mema aliyoyenda hapa duniani!
hahaaaa jamani hii dini hiii
jihadist sometimes akili yako inampita professeri kikwete na membe combined...
hahahahahaha mkuu umenivunja mbavu
Wagalatia, wakolosai, waefeso na makafiri wengine wote.
Niko njiani narudi kambini.
Hio mipasho yenu na vicheko vyenu navisoma kwa kituo.
Subirini nikae mkao wa kula.
Mtaanza kumuita Papa Sasa hivi.
I watching you now!
The big brother is back!
mkuu ulipotea sana ndo unatoka paris nini? kuwafyeka wale jamaa waliomkashifu mudi.
Wagalatia, wakolosai, waefeso na makafiri wengine wote.
Niko njiani narudi kambini.
Hio mipasho yenu na vicheko vyenu navisoma kwa kituo.
Subirini nikae mkao wa kula.
Mtaanza kumuita Papa Sasa hivi.
I watching you now!
The big brother is back!
MEMBE NI ZEZETA,PALESTINA ILIUA MTOTO WA KIISRAEL HAKUILAANI PALESTINA,BALI ALIWASHANGILIA, ISRAEL ILIPOLIPA KISASI MEMBE AKAILAANI ISRAEL KUWA INAUA NDUGU ZAKE WAPALESTINA ET BILA HATIA!! SASA HUYU SIYO ZEZETA JAMANI? Haya Mauaji Yanayofanywa Na Isis,bokoharam Na Alshabaab Membe Humsikii Akiyalaani Mauaji Hayo,anasubiri Israel Au Mmarekani Ajibu Mapigo Membe Aje Alaani!! Mauaji Ya Hv Karibuni Ya Waandish Wa Habari MEMBE HATOLAANI. HVY MEMBE NI KAMA MWANAMKE MALAYA AMBAE YUPO KIMASLAHI ZAIDI NA YUPO TAYARI KUKANA WAZAZI WAKE ILI APATE ANACHOTAKA.
Membe akiwa rais ni afadhari nihame nchi na kubadilisha uraia kuliko kuongozwa na mtu kama Membe!
katika watu ninao wadharau na kuwapuuza Membe ni mmoja wao haji elewi kabisa.
Membe akiwa rais ni afadhari nihame nchi na kubadilisha uraia kuliko kuongozwa na mtu kama Membe!
Hii dunia haiko fair same thing zinahappen nigeria na boko haram wanaua maelfu ya ndugu zetu, kenya hapo alshabab wanafanya same thing ila leo coz imehapen france na ni dunia ya kwanza watu wamestuka na ww unataka membe atoe tamko!!!
Uko sahihi mkuu! yaani sie waafrika tuna matatizo ya kifikra na ndio maana wazungu wanatuchezea. Japo mie naunga mkono mabadiliko ya kimfumo Tanzania na hivyo naunga mkono ukawa lakini nakiri kuwa Tanzania ni moja ya nchi chache za kiafrika zinazojitambua, ndio maana hatujasikia matamko yasiyotuhusu. Hongera Membe kwa kutotoa tamko Kuanzia mashambulizi ya charlie hebdo mpaka vibonzo walivyochora. Mbona sijasikia matamko mazito ya nchi za ulaya dhidi ya mashambulizi ya alshabab na Boko haram.Heri Tz kuliko nchi kama Nigeria ambako milipuko inatokea kaskazini mwa nchi muda huo huo, rais Jonathan hatoi tamko kuhusu wananchi wake waliouwawa bali anatoa tamko la kulaani mauaji ya charlie hebdo. Hii ni aibu sana kwa waafrika.
walipotosha sana kwa hiyo data.quran inasema muislam akitenda mema akifa ataenda peponi kwenye mito ya pombe ambako atapewa wanawari bikira saba. Moja ya vibonzo vilivyosababisha magaidi kuvamia charlie hebdo kilichorwa mtume muhammad akiwa na mabinti saba mabikira. Mantiki ya cartoon hiyo ni kuashiria kuwa mtume muhammad alitenda mema ndiyo maana amepewa mabikira saba. Kashfa hapo ni ipi?
Wakuu zangu nadhani mada hii inahusu msimamo wetu kuhusu janga lilotokea Ufaransa sasa hii habari ya kuanza kulumbana na kuzungumzia dini imani za watu hata sielewi, maana waloyafanya haya ni mtu/watu mwenye imani kali kama yule mkristu aloua watu kule Norway kwenye park wa jina la dini yake (kristu). Hivi kweli tunaweza kuwahukumu wakristu wote duniani kwa kosa la huyo mtu ama yule Timothy McVeigh.
Ifahamike tu kwamba hawa watu wanapigania nchi zao, iwe kiuchumi ama kiutawala na wameona hapana njia bora zaidi ya kuweka mvuto wa tofauti zao na nchi za magharibi pasipo kuitumia dini. Hii ni political tactics ambayo mjinga pekee ndio atakubali kuuweka Uislaam/Ukristu kuhalialisha matendo ya watu hao.
Katika Uislaam hakuna muumini aitwaye Sunni ama Shia ni majina walopewa kwa sababu wanafuata mafundisho yalotofautiana juu ya yapi ni katika ibada na yapi yasokuwemo kutokana na hadith. lipo kundi la waislaam wasokubaliana na hadith kabisa hivyo hawaitambui Sunni wala Shia wala dhehebu jingne lolote zaidi ya kuisoma Quran na kuachana kabisa na hadith (maisha ya Mtume) kama yalivyosimuliwa na watu.
Vivyo hivyo nadhani hata katika Ukristu wapo wasokubali madhehebu na wanataka kuisoma Biblia kwa nukuu za Yesu alisema nini na mitume walomtangulia walisema nini juu ya neno la Mungu. Maisha ya Yesu ndiyo yaloleta utenganisho mkubwa ndani ya Ukristu maana kila mtu alikuja na hadith kwamba Yesu alifanya hivi ama vile aliruhusu hiki akakataza kile - According to! Yote haya ni mkono wa binadamu unaotuposha sote katika imani zetu na tujihadhali sana.
Kwa hiyo basi, tujihadhali sana na hizi siasa za Udini kwa sababu tukumbuke kwamba Hitler aliwaua wayahudi kwa kutumia imani yake ya dini kwamba wao ndio walimuua Yesu, Vita ya Rwanda, Bosnia, Nigeria na kwingineko kote wajinga fulani wamezitumia dini kuhalalisha ushenzi wao. Na kwa ushenzi wao, leo tunamlaani sote Hitler na sio Ukristu. Kwa nini inapofikia Uislaam tunabadilsiha maneno?
jamani mwee kila siku Marekani kunamtu anaingia sehemu za watu wengi iwe mashuleni, sinema, mahotelini, maofisini kambi za jeshi na kumwaga risasi kuua watu wasokuwa na hatia kisha akajiua mwenyewe mbona haizungumziwi imani za za dini? ama wakaitwa magaidi kama magaidi wengine? Bado hamjiulizi isipokuwa kufuata mnacholishwa na nchi za magharibi?
Does it make sense to you??
hapo mwanzao kulikuwa na NENO,HUYO NENO ALIKUWA NA MUNGU,,NA HUO NENO ALIKUWA MUNGU??
NA HUYO MUNGU AKAMZAA HUYO NENO??
DOES IT MAKE ANY SENSE??
UNADANGANYWA HUKU UNAONA NAWEWE UNAKUBALI??
Sio miye ila nawashangaa watu wanaokubali kugawanywa wakati wenzao wamekalia chumi za nchi hizo na wana malengo ya kuweka watawala wao nchi za kiarabu ili biashara zao zifane zaidi na zaidi. Sisi tunayebishana hapa kila siku hatujui kesho tutakula nini lakini ndio tumejazwa usingizi mkubwa wa udini.mkuu mkandara huelewi nini hapo? hapo ni divide and rule policy at work.
Kama vile ni lazima kila nchi itoe tamko. Kwanza hao wafaransa wala hawana muda na nchi kama zetu. Kazi kujikomba tu. Kwanini hakuuliza Ufaransa ina maoni gani kwa mauaji ya Mwangosi? Au Yale mabomu kule Pemba na Arusha?Hii dunia haiko fair same thing zinahappen nigeria na boko haram wanaua maelfu ya ndugu zetu, kenya hapo alshabab wanafanya same thing ila leo coz imehapen france na ni dunia ya kwanza watu wamestuka na ww unataka membe atoe tamko!!!