Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,527
- 2,787
Ukiangalia kwa makini tatizo la elimu ya Tanzania sio tahasusi au masomo mapya.
Mtu anayesoma islam kuna degree gani inayo shabihiana na islam kwenye vyuo vikuu vyetu!?
Bora hata divinity mtu atasema anaenda kuchukua philosophy na haina uhusiano na ukristo wa moja kwa moja.
Hizo ni cutting point za kuwabeba waislam hasa wazazibar kwa sababu hao ndio kipaumbele cha awamu ya sasa.
Na zaidi ya hayo ni kutaka kuudhoofiasha Ukristo.
Mtu anayesoma islam kuna degree gani inayo shabihiana na islam kwenye vyuo vikuu vyetu!?
Bora hata divinity mtu atasema anaenda kuchukua philosophy na haina uhusiano na ukristo wa moja kwa moja.
Hizo ni cutting point za kuwabeba waislam hasa wazazibar kwa sababu hao ndio kipaumbele cha awamu ya sasa.
Na zaidi ya hayo ni kutaka kuudhoofiasha Ukristo.