Ganda Mweri
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 294
- 857
This is sarcasim...
Huyu jamaa anacheza asiumie,
Shida sisi wabongo tunajidai kila kitu tunajua. Mtu hata mpira hajawahi cheza anasema samatta anazingua. unajua role yake alokuwa amepewa leo? unajua workrate yake leo uwanjani. Muachenk Samatta hakuna mchezaji kama Samatta kwa sasa Tanzania. Samatta ndo next level
Mpira wa Miguu ni mchezo wa timu nasiamini kama Samatta peke yake anaweza fanya miujizabila kusaidiana na wachezaji wengine katika timu. Mnapomlaumu yeye peke yake katika position yake pasi na kuangalia wachezaji wengine wanafanya nini kuhakikisha kwamba Samatta anafanya va katika nafasi yake.
Jambo jengine ni kwamba, yeye akiwa kama Nahodha wa timu ana jukumu lingine kubwa ambalo linahusiana na kuleta “team morale” as a player and a leader. Je hivyo anafanya?
Mnafananisha na namna anavyocheza akiwa Genk, well jaribuni kuifikiria timu ya Taifa kama mashine, ili iweze kufanya kazi kwa ufanisi, he sio muhimu kwamba part zote za gari ni lazima ziwe zinafanya kazi kwa usahihi? Tunafikiri kwamba timu yetu ni hiyo perfect machine?
Kwamba mabeki wa liverpool ni vilaza hebu tueleweshe hapa sisi mashabiki wa liverpool tukusikieGenk anapocheza hamna walinzi,uefa kwa liverpool alifunga mbele ya mabeki gani wa liverpool,samata hana lolote timu ya taifa ni kama anakuja kufanya zoezi tu hajitumi
dirisha dogo la usajili linakuja halafu samatta ajiumize kwasabb gani uzalendo au? **** off wacha ajikinge apamabne kwa wazungu amabao watamtunza than kupambana kwa kivuli cha uzalendo halfu akiumia tunamcheka
Huyo wa degree 4 hajui hata mpira ukidunda unaenda juu au chini amekaa hapo tu kazungumzia degree
😆😆😆😆Samatta hana la kupoteza ndio maana akija timu ya Taifa hajitumi anacheza hovyo tu kuogopa majeruhi.
Kuna mechi Taifa Stars walishinda bila yeye asituletee u-star wake, mtu ligi kubwa anafunga magoli, UEFA hadi Liverpool anafunga ila mechi ya timu ya Taifa anafunga penati tu, hata nusu ya Msuva hafikii hiyo namba 10 apewe hata hajibu.
Maneno yote makali hayo unamtupia captain wetu?? We jamaa kweli sio mzalendo na haufai hata roboJana kaniboa mbaya kazi take ilkuwa kuchekacheka kistar na kwadharau fàla sana bora aumie ili asiitwe.