Ganda Mweri
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 287
- 844
Samatta ni bwege sana, na hawa wanaomtetea wanatoa sababu za kijinga jinga tu.
Hivi mtu anapoteza mipira kizembe halafu anakenua meno, jamaa anajiona faza sana.
Mm nashauri kocha asiangalie jina awe anachukua maamuzi magumu ya kumuweka benchi. Timu ya taifa ni kubwa kuliko huyo Samantha.
Hivi mtu anapoteza mipira kizembe halafu anakenua meno, jamaa anajiona faza sana.
Mm nashauri kocha asiangalie jina awe anachukua maamuzi magumu ya kumuweka benchi. Timu ya taifa ni kubwa kuliko huyo Samantha.