Maoni: Samatta ni mzigo Taifa Stars, aondolewe

Samatta ni bwege sana, na hawa wanaomtetea wanatoa sababu za kijinga jinga tu.

Hivi mtu anapoteza mipira kizembe halafu anakenua meno, jamaa anajiona faza sana.

Mm nashauri kocha asiangalie jina awe anachukua maamuzi magumu ya kumuweka benchi. Timu ya taifa ni kubwa kuliko huyo Samantha.
 
Wewe mpira gani unafahamu ?we mwenyewe kichaaa
Shida sisi wabongo tunajidai kila kitu tunajua. Mtu hata mpira hajawahi cheza anasema samatta anazingua. unajua role yake alokuwa amepewa leo? unajua workrate yake leo uwanjani. Muachenk Samatta hakuna mchezaji kama Samatta kwa sasa Tanzania. Samatta ndo next level
 
Ongea sana ila huyo timu ya taifa bi boya tu
Mpira wa Miguu ni mchezo wa timu nasiamini kama Samatta peke yake anaweza fanya miujizabila kusaidiana na wachezaji wengine katika timu. Mnapomlaumu yeye peke yake katika position yake pasi na kuangalia wachezaji wengine wanafanya nini kuhakikisha kwamba Samatta anafanya va katika nafasi yake.

Jambo jengine ni kwamba, yeye akiwa kama Nahodha wa timu ana jukumu lingine kubwa ambalo linahusiana na kuleta “team morale” as a player and a leader. Je hivyo anafanya?

Mnafananisha na namna anavyocheza akiwa Genk, well jaribuni kuifikiria timu ya Taifa kama mashine, ili iweze kufanya kazi kwa ufanisi, he sio muhimu kwamba part zote za gari ni lazima ziwe zinafanya kazi kwa usahihi? Tunafikiri kwamba timu yetu ni hiyo perfect machine?
 
Usifananishe hao na huyo mkata mauno
Kawambie Messi ,Ronaldo ,Mane,Salah hawana msaada team zao za Taifa ,wanavyocheza kwenye vilabu tofauti na team zao za taifa.
 
Jana kaniboa mbaya kazi take ilkuwa kuchekacheka kistar na kwadharau fàla sana bora aumie ili asiitwe.
 
dirisha dogo la usajili linakuja halafu samatta ajiumize kwasabb gani uzalendo au? https://jamii.app/JFUserGuide off wacha ajikinge apamabne kwa wazungu amabao watamtunza than kupambana kwa kivuli cha uzalendo halfu akiumia tunamcheka
 
Benchi la ufundi wanahofia lawama tu tukipoteza mechi bila Samatta kuitwa kikosini lakini hakuna lolote analofanya national team.

Ndayiragije ni msikivu I bet atamuacha tu kama alivyomuacha Ulimwengu na Kichuya.
 
Genk anapocheza hamna walinzi,uefa kwa liverpool alifunga mbele ya mabeki gani wa liverpool,samata hana lolote timu ya taifa ni kama anakuja kufanya zoezi tu hajitumi
Kwamba mabeki wa liverpool ni vilaza hebu tueleweshe hapa sisi mashabiki wa liverpool tukusikie
 
Hata Messi naye huwa wanamsema hivyo hivyo kuwa kiwango anachochezea Barcelona sicho kiwango anachochezea Argentina eti kwa sababu tu hana kombe la dunia lakini mwisho wa siku yeye kama yeye bado atabaki kuwa mmoja wa wachezaji bora duniani

Kwahiyo fitina kama hizo hazimuondolei mchezaji kama Samatta ubora wake
 
Sko hivo kama anaogopa kuukia basi angekua anatoa pasi za uhakika.
dirisha dogo la usajili linakuja halafu samatta ajiumize kwasabb gani uzalendo au? **** off wacha ajikinge apamabne kwa wazungu amabao watamtunza than kupambana kwa kivuli cha uzalendo halfu akiumia tunamcheka
 
Wamuwache tu kwa kweli ni mzigo,
Ila yupo sawa asije akaumia alafu mpango wa kusajiliwa barcelona ukafa
 
Samatta hana la kupoteza ndio maana akija timu ya Taifa hajitumi anacheza hovyo tu kuogopa majeruhi.

Kuna mechi Taifa Stars walishinda bila yeye asituletee u-star wake, mtu ligi kubwa anafunga magoli, UEFA hadi Liverpool anafunga ila mechi ya timu ya Taifa anafunga penati tu, hata nusu ya Msuva hafikii hiyo namba 10 apewe hata hajibu.
😆😆😆😆
 
Jana kaniboa mbaya kazi take ilkuwa kuchekacheka kistar na kwadharau fàla sana bora aumie ili asiitwe.
Maneno yote makali hayo unamtupia captain wetu?? We jamaa kweli sio mzalendo na haufai hata robo
Hakika nimehuzunika sana comment yako
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom