Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,
Taqfadhali maoni.
NO OFFENCE PLEASE.
khaa! Nakataa! Kuna Wakiristo wameowa waislamu na pia wapo wakiristo wanaokataa watoto wao kuolewa na waislamu. In short, edit swali lako, lilenge ku-gain something na sio kuleta ushabiki hapa...!
Kumekucha....
sikatai mawazo yako ...ila wajua kwamba waislam ni wengi wanaooa dada zetu kuliko wakristo.... na kwa taarifa tu ,they feel proud kuoa wakristo na wanasisitiza hilo...
No Offence please
Hapo sasa umenena!nahis Waislamu kuoa wakiristo ni kama mission flan ya kutoa watu kizani na kuwaleta kwenye nuru ya uislamu thus why wanakataa watoto wao kutolewa katika nuru na kuingizwa kizani.
Kwa elimu yangu ndogo,
No offence!
with alll due respect ... naomba nifafanulie vizuri hapo red. ,, tufaham ukweli
Waislamu wanaume wameruhusika kuowa Ahlul-kitabu maana yake ni (wakristo na mayahudi) hawa ni wanawake wema miongoni mwa waliopewa kitabu"walmuhswanatu mina ladhina uutulkitaba" Mwanamke wa kiislamu haruhusiki kuolewana wakristo au mayahudi. Ni kwamba mwanamume awendiye mwenye mas-uliyah na nyumba na watoto, kwani kwa Hikma ya Allaah سبحانه وتعالى Amemfanya mume awe kiongozi wa nyumba kwa sababu itakuwa ni wepesikwake kumuongoza mkewe. Na inabidi Muislamu anapooa Ahlul-Kitaab ajitahidiawezavyo kumuongoza katika dini ya Uislamu. Lengo kubwa kwamuislamu kuowa wakristo ni kumuongoza katika njia iliyonyooka nayo nayo ni diniya kiiislamu. Mwanamke ni dhaifu na mwepesi hivo haruhusiki kuolewa na mayahusiau wakristo. Mpaka apo nadhani nimeleweka uzuri. Allah ndie anayejua zaid
Waislamu wanaume wameruhusika kuowa Ahlul-kitabu maana yake ni (wakristo na mayahudi) hawa ni wanawake wema miongoni mwa waliopewa kitabu"walmuhswanatu mina ladhina uutulkitaba" Mwanamke wa kiislamu haruhusiki kuolewana wakristo au mayahudi. Ni kwamba mwanamume awendiye mwenye mas-uliyah na nyumba na watoto, kwani kwa Hikma ya Allaah سبحانه وتعالى Amemfanya mume awe kiongozi wa nyumba kwa sababu itakuwa ni wepesikwake kumuongoza mkewe. Na inabidi Muislamu anapooa Ahlul-Kitaab ajitahidiawezavyo kumuongoza katika dini ya Uislamu. Lengo kubwa kwamuislamu kuowa wakristo ni kumuongoza katika njia iliyonyooka nayo nayo ni diniya kiiislamu. Mwanamke ni dhaifu na mwepesi hivo haruhusiki kuolewa na mayahusiau wakristo. Mpaka apo nadhani nimeleweka uzuri. Allah ndie anayejua zaid
Hapo sasa umenena!
Kwa elimu yangu ndogo, nahis Waislamu kuoa wakiristo ni kama mission flan ya kutoa watu kizani na kuwaleta kwenye nuru ya uislamu thus why wanakataa watoto wao kutolewa katika nuru na kuingizwa kizani.
No offence!
Muislamu wa kiume anatakiwa akae na muyahudi au mkiristo (ahlul-kitab) wakiowana kwa muda maalum tu kwa ajili ya kumuongoza mkewe katika dini ya haki. Ikiwa imeshindikana atatakiwa kumuacha ila watoto watakua chini ya baba yao katika malezi ya kiislam. Kwa sababu mwanaume ndio kiongozi wa familia.Pale inapotokea Muislam anaishi na binti wa kikristo na labda wamepata watoto wawili, alafu wanagawana dini mmoja anabaki kuwa mkristo na mwingine anakua muislam ... na baba anaenda msikitini kama kawaida.
imekaaje hiyo????
Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,
Taqfadhali maoni.
NO OFFENCE PLEASE.
Muislamu wa kiume anatakiwa akae na muyahudi au mkiristo (ahlul-kitab) wakiowana kwa muda maalum tu kwa ajili ya kumuongoza mkewe katika dini ya haki. Ikiwa imeshindikana atatakiwa kumuacha ila watoto watakua chini ya baba yao katika malezi ya kiislam. Kwa sababu mwanaume ndio kiongozi wa familia.