Maoni: Kaseja staafu Taifa Stars

Sibonike

JF-Expert Member
Dec 23, 2010
17,277
17,983
Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja.

Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN.

Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine.
 
Tatizo letu Watanzania, taaluma ya Ukocha tunayo hivyo basi msitushangae tutashabikia halikadhalika tutakosoa kwa sana...! Mtusamehe ndugu zetu
 
Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja.

Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN.

Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine.
Huyo labda shemeji yake, kaachwa Metacha.
 
Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja.

Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN.

Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine.
Mkuu hujagundua tu? Timu ya taifa ikiwa na mechi ya kirafiki hapa nchini haitwi ila ikitoka nje ya nchi yumo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…