Sibonike JF-Expert Member Dec 23, 2010 17,277 17,983 Jan 28, 2021 #1 Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine.
Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine.
Lee JF-Expert Member Jul 31, 2013 43,906 150,215 Jan 28, 2021 #2 Angelidaka mechi ya jana Kaseja ni kiongoz mzuri uwanjani.
K kinje ketile JF-Expert Member Dec 12, 2015 4,314 8,306 Jan 28, 2021 #4 Tatizo letu Watanzania, taaluma ya Ukocha tunayo hivyo basi msitushangae tutashabikia halikadhalika tutakosoa kwa sana...! Mtusamehe ndugu zetu
Tatizo letu Watanzania, taaluma ya Ukocha tunayo hivyo basi msitushangae tutashabikia halikadhalika tutakosoa kwa sana...! Mtusamehe ndugu zetu
Sibonike JF-Expert Member Dec 23, 2010 17,277 17,983 Jan 28, 2021 Thread starter #5 Mr_X said: Kwani Ettiene bado hajatimuliwa tu? Click to expand... Sijui wana subiri nini?
Sibonike JF-Expert Member Dec 23, 2010 17,277 17,983 Jan 28, 2021 Thread starter #6 kinje ketile said: Tatizo letu waTz, taaluma ya Ukocha tunayo hivyo basi msitushangae tutashabikia halikadhalika tutakosoa kwa sana...! Mtusamehe ndugu zetu Click to expand... Dunia nzima iko hivyo. Wapo wachache wanaojiona wao tu ndiyo wanajua.
kinje ketile said: Tatizo letu waTz, taaluma ya Ukocha tunayo hivyo basi msitushangae tutashabikia halikadhalika tutakosoa kwa sana...! Mtusamehe ndugu zetu Click to expand... Dunia nzima iko hivyo. Wapo wachache wanaojiona wao tu ndiyo wanajua.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,056 10,700 Jan 29, 2021 #7 Sibonike said: Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine. Click to expand... Huyo labda shemeji yake, kaachwa Metacha.
Sibonike said: Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine. Click to expand... Huyo labda shemeji yake, kaachwa Metacha.
Lupweko JF-Expert Member Mar 26, 2009 20,715 20,472 Jan 29, 2021 #8 Sibonike said: Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine. Click to expand...
Sibonike said: Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine. Click to expand...
Jacobus JF-Expert Member Mar 29, 2011 4,681 1,698 Jan 29, 2021 #9 Sibonike said: Sijui wana subiri nini? Click to expand... Labda wanasubiri arejee wagawane mshiko.
Jacobus JF-Expert Member Mar 29, 2011 4,681 1,698 Jan 29, 2021 #10 Sibonike said: Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine. Click to expand... Mkuu hujagundua tu? Timu ya taifa ikiwa na mechi ya kirafiki hapa nchini haitwi ila ikitoka nje ya nchi yumo!
Sibonike said: Kwa kifupi Ndailagije kamkosea heshima Juma Kaseja. Kwa umri na uzoefu wake, hapakuwa na sababu kumwita T Stars ili akasugue benchi kwenye CHAN. Kama alishaona Manula atakuwa keeper number 1, basi ni vyema angetafuta understudy mwingine. Click to expand... Mkuu hujagundua tu? Timu ya taifa ikiwa na mechi ya kirafiki hapa nchini haitwi ila ikitoka nje ya nchi yumo!
Aladeen04 JF-Expert Member Sep 6, 2016 3,519 5,683 Jan 29, 2021 #11 Angetafuta mwingine yupi sasa? Ye kamuona huyo.