MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Watu wa mpira tunajua kuwa kipa Aishi Manula na aliyewahi kuwa kipa wa Taifa Stars Juma Kaseja haziivi kabisa.
Kaseja analalamika Manula mchawi na Manula nae kutwa hataki kumsikia Kaseja kwa madai kuwa ni mchawi na amekuwa akimuumiza mno walipokuwa pamoja Taifa Stars mwaka mmoja au miaka miwili iliyopita.
Halafu kipa Manula anamdharau(tena wazi wazi) kipa Kaseja na Kaseja nae mara nyingi humuonyeshea kiburi kipa Manula, jambo ambalo ni hatari zaidi kwa timu ya taifa.
Ukweli ni kwamba mmekurupuka!
Kaseja analalamika Manula mchawi na Manula nae kutwa hataki kumsikia Kaseja kwa madai kuwa ni mchawi na amekuwa akimuumiza mno walipokuwa pamoja Taifa Stars mwaka mmoja au miaka miwili iliyopita.
Halafu kipa Manula anamdharau(tena wazi wazi) kipa Kaseja na Kaseja nae mara nyingi humuonyeshea kiburi kipa Manula, jambo ambalo ni hatari zaidi kwa timu ya taifa.
Ukweli ni kwamba mmekurupuka!