Naona unaandika na kujijibu mwenyewe..Vijana jengeni viwanda
Unadhani wanatoa wapi pesa ya bar?Tena kesho holiday watajazana baa hatari
Vijana wa Tanzania mmevunja rekodiKutwa unamshambikia Diamond wewe unafaidikaje?
Mkuu unataka picha ya kitu gan hapaUkiweka picha haitadhuru na wewe ukiwa mvulana wa Dar itapendeza zaidi.
Ukiweka picha haitadhuru na wewe ukiwa mvulana wa Dar itapendeza zaidi.
View attachment 630754 haka hapo ka picha unakokataka
hahaaaaaa umegusa mwakeMkuu umegusa penyewe .... Ukienda kwenye magroup ya whatsapp sasa, ndio utachoka hamana cha maana...
Pumba kiukweli ni janga linalotukabili kama taifahahaaaaaa umegusa mwake
ungekua unajua watu wana ishi vipi na hiyo mitaji,na fursa zilizo kaliwa na wachache na zinazo taka uwezo usinge kuwa una ropoka kama na wewe humo humo kwenye asilia 98.Vijana wengi wa kitanzania (Sehemu za miji mikubwa ikiwemo Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya) 96% ya maongezi yao ni pumba tupu na vitu visivyowasadia katika kujikwamua kimaisha ikiwemo mpira wa ulaya (FA, EPL, UEFA n.k.), Wasanii wa bongo na skendo zao, namna mheshimiwa anavotumbua majipu. Ni ngumu kumkuta kijana wa miaka 18 - 35 akiongea vitu vya maana vya kujenga uchumi (binafsi, jamii na taifa) kwa muda unaozidi dakika 5 mfululizo bila kuchomeka Tusi.
Hivi interview/kazi huwa mnapataje aisee? na bomba la mafuta tumeambiwa linapita Tanzania kweli namna hii mtapata kazi kweli? au ndo watajaa wa kenya kama kawaida? (Mfano STRABAG, Nakumatt?)
NB: Fuatilia kwa wauza magazeti, vijana wengi hununua magazeti ya michezo, udaku n.k. na kuacha magazeti yenye fursa na habari za maana kwa mustakabali wa nchi. Sad!