Maonesho ya kazi za kishirikina

Daaaah Mshana Jr sijakuelewa bado, ili uchawi na ulozi uonekane ni kitu chema,,,,nadhani wachawi wenyewe wangeanza kuutumia kwa manufaa katika shughuli zao na kuutumia katika mambo yenye faida kwa jamii,,,,,,,yani hata bila kuomba vibali vya utambuzi kutoka kwa serikali.........serikali yenyewe ingeona na kufikiria juu yao na tamaduni yao.......

Lakini badala yake,,,uchawi umekua ni pigo kubwa hakuna mfano......watu kurogwa,,,kurushiana mikosi,, majanga na mabalaa kibao,,,,watu kufanyiwa mambo ya ajabu na ya kutisha na hawa wachawi,,,,yani wachawi wamechangia kabisa kutokuepo kwa aman katika nchi hiii......

Infact hata vitabu vya dini vimewaweka kwnye kundi baya....so hatuwataki.
 
Siku za hivi karibuni nimeanza kupatwa na wasiwasi juu ya ukweli na kuaminika kwa sayansi yetu aka uchawi. Maana kwa mwendo tunaoenda nao, kama haya mambo yangekuwa na uhakika Jiwe tungeshamsahau
 
Kuna mengi yalitokea nyuma ya pazia hayasemwi... Kumbuka kuna self defense pia... Hakukuwa na boya hapo....!!!!
Siku za hivi karibuni nimeanza kupatwa na wasiwasi juu ya ukweli na kuaminika kwa sayansi yetu aka uchawi. Maana kwa mwendo tunaoenda nao, kama haya mambo yangekuwa na uhakika Jiwe tungeshamsahau
 
Kuna jamaa (jina kapuni) alipewa dawa ya kishirikina akapasua katikati ya simba bila ya madhara yoyote . ukiwa na hiyo dawa ukienda vitani risasi inageuka kama mchanga, hivyo utakwaruzwa tu na mchanga. Ni sayansi iliyokubuhu ya kiafrika
 
Ba
Baada ya kusoma comments na hii mada na kuitafakari kwa muda mrefu,nahitaji kufahamu kwa nini zana za kazi zina mwonekano ule ule kama zimepitwa na wakati,yaani haziwi modified. Mfano kibuyu kiwe bomba dogo la chuma/shaba na kusiwe na masizi..
 
Hayo ni makasha tu.. Nguvu halisi iko kwenye vitendo
Ba

Baada ya kusoma comments na hii mada na kuitafakari kwa muda mrefu,nahitaji kufahamu kwa nini zana za kazi zinamwonekano ule ule kama zimepitwa na wakati,yaani haziwi modified. Mfano kibuyu kiwe bombs dogo la chuma/shaba na kusiwe na masizi..
 
Mkuu Tanzania ina witch Craft act inakataza haya mambo
Kukutwa au kutumia vitu vinavyo amasisha kuwepo kwa uchawi ni jinai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…