Maonesho ya kazi za kishirikina

Maonesho ya kazi za kishirikina

Hakuna gamboshi hapo mkuu, I know those countries ..Bolivia, Peru, na Mexico kwa baadhi tu, tena nilitaka binafs kwenda hizo sehem kuangalia , ni maeneo kabisa yametengwa kwa ajili ya kuuza hizo zana za kichawi au kupiga ramli, au kuangaliwa na kusomewa nyota yako
Umenitoa tongo tongo mkuu
 
Hakuna gamboshi hapo mkuu, I know those countries ..Bolivia, Peru, na Mexico kwa baadhi tu, tena nilitaka binafs kwenda hizo sehem kuangalia , ni maeneo kabisa yametengwa kwa ajili ya kuuza hizo zana za kichawi au kupiga ramli, au kuangaliwa na kusomewa nyota yako
Tukiamua kwa dhati ya moyo na kuvunja taboos hili litawezekana hata hapa kwetu
 
Aliyetufundisha kiswahili ni nani? nijuavyo kabla ya mabeberu tulikuwa hatujui kusoma na kuandika na walipokuja walitufundisha lugha zao, sasa ni nan alitunga na kutundisha kiswahili?
Kiswahili ni lugha iliyokuwepo kabla ya kuja wageni kutoka Ulaya na Sehemu nyengine za Dunia,

Walipo kuja Warabu sehemu za Afrika Mashariki, walikikuza kiswahili, Kiswahili kilianza kuandikwa kwa herufi za kiarabu..

Walipowasili Wazungu,kiswahili kilibadilishwa kutoka kuandikwa kwa herufi za Kiarabu na kuandikwa kwa herufi za kirumi..

Mjarumani ndio mtu wa mwanzo kuandika ufasihi(grama) wa Kiswahili
 
.
maxresdefault.jpeg
 
Mshana Jr naomba mfanye tukio moja kubwa la walozi wote TZ ambalo litawafanya mkubalike na SIRIKALI, mnaweza kufanya miujiza ya Chumba cha Jiwe kiwe kinajaa hela ili atekeleze miradi ya maendeleo hapo nina imani Tanzania tutakiwa wa kwanza KATIKA Africa na JIWE atawapenda milele.
Hii ya morogoro huielewi vizuri eeeeh.
 
Kama sio mwaminifu anaweza kufanya hivyo ili kujipatia kipato zaidi
Kuna watu nawajua wanaenda south Africa mmoja hutangulia kwa kazi ya kuloga tu hasa kifafa then mwingine hufuata baada ya wagonjwa kuwa wengi na kukolea.
Akidhafika wa pili ktk ule mji yule wa kwanza huhamia mji mwingine kuendelea kuroga ambapo huyu wa pili hujitangaza mganga na kuahidi kutibu mmoja wa wahanga bila malipo na ndipo wengine humiminika.
Wamekomba pesa sana za wasauzi japo wengi wamekufa kwa ukimwi baada ya kula sana starehe kutokana na mapesa wanayozoa.
Wameliza wengi.
 
Kuna watu nawajua wanaenda south Africa mmoja hutangulia kwa kazi ya kuloga tu hasa kifafa then mwingine hufuata baada ya wagonjwa kuwa wengi na kukolea.
Akidhafika wa pili ktk ule mji yule wa kwanza huhamia mji mwingine kuendelea kuroga ambapo huyu wa pili hujitangaza mganga na kuahidi kutibu mmoja wa wahanga bila malipo na ndipo wengine humiminika.
Wamekomba pesa sana za wasauzi japo wengi wamekufa kwa ukimwi baada ya kula sana starehe kutokana na mapesa wanayozoa.
Wameliza wengi.
wengi wamekufa kwa ukimwi baada ya kula sana starehe kutokana na mapesa wanayozoa.
Wameliza wengi.

Wamevunja masharti
 
Back
Top Bottom