Mimea yabkiroho ndo ipoje?Ukiona mzimu au mtu aliyekufa unakujia ndotoni. Nunua leso 3 nzuri, ongeza sarafu na chupa ya pombe. Viweke vyote kwenye sahani mpya nyeupe. Nenda kwenye kaburi lolote na uviweke huko na useme hivi: Samahani wewe si miongoni mwa walio hai tena. Nakatiza kuonana kutoka sasa. Nenda kwa safari yako tofauti na upumzike kwa amani.
Baada ya kusema hivyo mimina chupa ya pombe hapo juu ya kaburi. Nenda nyumbani na uoge kwa mimea ya kiroho kwa siku 3. View attachment 2296191
Why usifanye mapenzi? Inabid uh toe somo juu ya somo la mapenzi na nguvu yake. Maana kuna mwamba alisema nguvu huamishwa kwenye mapenzi sikuelewaUkitaka kujitengeneza mvuto wa pesa ule mkali sana ukiwa nyumbani kwako ww tafuta MTULATULA chimba mizizi yake kisha kata vijipande 21 kisha kila siku utaichemsha mizizi 7 huku umeweka sarafu ya mia 500 kisha ikisha chemka ipua weka chini jifukize ukimaliza chukua ayo maji kaoge ukimaliza chukua iyo mia 500 nenda sokon kainunulie kitu chochote tumia hata ainashinda kabsa.Tumia hayo maelekezo mda wa siku 3 tu.Nakwambia hapo mambo yako ya kipesa yatafunguka kwa haraka.Utumiapo dawa iyo ndani ya dozi hutakiwi kufanya mapenzi paka izo siku 3 zipite.Asanten..
Tamaduni nyingi zinaamini kwamba mimea hii ni takatifu kwa sababu ya roho zinazoishi ndani ya mimea yenyewe. Viongozi wa kidini na wa kiroho hutumia mimea hii, misombo na michanganyiko yake kuleta usawa katika ulimwengu wa kimwili na wa kiroho, kuponya akili na mwili, na kutoa mwamko wa kiroho.Mimea yabkiroho ndo ipoje?
Mapenzi kwa maana ya tamaa za kimwili ni kipangamizi kikubwa kwenye kutengeneza nguvu yoyote ya kiroho labda itumike kama sehemu ya ibada kwenye kafaraWhy usifanye mapenzi? Inabid uh toe somo juu ya somo la mapenzi na nguvu yake. Maana kuna mwamba alisema nguvu huamishwa kwenye mapenzi sikuelewa
Mapepo hayoEnzi hizo nipo kikazi Hospitali fulani kubwa ya Serikali hapa Dar, Sasa nikiwa Night kuna muda panakuwa free kwahiyo nambonji kidogo, aisee mara nyingi nilikuwa nakabwa na likitu silielewielewi mpaka kuna siku ilikuwa too much yaani inajirudia ikabidi niogope hata kukaa peke yangu kwa ofisi...
Nilitarajia uwepo kwenye list ya mabillionea kidunia ila mbona hamna mbongo pale? the verdict is huu ni uongoUkitaka kujitengeneza mvuto wa pesa ule mkali sana ukiwa nyumbani kwako ww tafuta MTULATULA chimba mizizi yake kisha kata vijipande 21 kisha kila siku utaichemsha mizizi 7 huku umeweka sarafu ya mia 500 kisha ikisha chemka ipua weka chini jifukize ukimaliza chukua ayo maji kaoge ukimaliza chukua iyo mia 500 nenda sokon kainunulie kitu chochote tumia hata ainashinda kabsa.Tumia hayo maelekezo mda wa siku 3 tu.Nakwambia hapo mambo yako ya kipesa yatafunguka kwa haraka.Utumiapo dawa iyo ndani ya dozi hutakiwi kufanya mapenzi paka izo siku 3 zipite.Asanten..