Maonesho ya kazi za kishirikina

Maonesho ya kazi za kishirikina

Ningefurahi sana kuona bango Na onesho la KICHAWI HAPA NANE NANE MBEYA KWENYE VIWANJA VYA JOHN MWAKANGALE

Au mwenye kupajua walipo hapa uwanjani anipe connection [emoji2099]
 
Mshana Jr said:
Ni kama antibiotic pori inatibu mengi

Kaka Mshana Jr ningependa muwepo hapa nane nane kwenye maonesho ya kilele cha wakulima au mupo nipe connection plz
 
Ningefurahi sana kuona bango Na onesho la KICHAWI HAPA NANE NANE MBEYA KWENYE VIWANJA VYA JOHN MWAKANGALE

Au mwenye kupajua walipo hapa uwanjani anipe connection [emoji2099]
Niko mbali ndugu yangu na haya mambo yanahitaji maandalizi mengi
 
FB_IMG_1660340367395.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanamke mmoja aitwaye Estaroda Kaduma (28) amkazi wa Kichiwa kwa tuhuma za kumuua Mtoto wa Kaka yake anayefahamika kwa jina la Brown James Kaduma (7) ambaye anasoma darasa la kwanza katika Shule ya msingi Kichiwa.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issah amesema Kijana huyo alikuwa amelala majira ya saa nane usiku wakati Shangazi yake akiwa anafanya maombi lakini cha kushangaza alianza kupambana kwa kumpiga Mtoto akidhani ni ng’ombe mkubwa mweusi aliyefika wakati akifanya maombi.

“Huyu Dada huwa ana tabia ya kufanya maombi na katika maombi yake akaona ng’ombe mkubwa mweusi amefika katika eneo ambalo anafanya maombi, akaacha maombi akaanza kumpiga huyo ng’ombe na baadaye akatoweka baada ya muda akaonekana amefariki Kijana mdogo Mtoto wa Kaka yake baada ya kukanyagwakanyagwa kichwani na kujeruhiwa sehemu nyingine za mwili”

Kamanda Issah amesema tukio hilo linahusishwa na imani za kishirikina na kutoa wito kwa Wananchi kuachana na imani hizo ambazo zimekuwa zikileta madhara makubwa kwenye jamii.
 
 
Msichana atuhumiwa kwa uchawi, akutwa na mchanga na madawa :- eatv.tv/news/
20221026_090520.jpg
20221026_090516.jpg
 
 
Back
Top Bottom