Hivi sasa mwili wa Judith aliye pigwa bomu Soweto unaagwaView attachment 98574
EE mungu wa milele.Pumzisha roho ya mpendwa wetu alijitahidi kuinuka baada ya kupigwa bomu lakini baba uliruhusu roho yake itoke kama ulivyoruhusu ya mwanao yesu kristu.Leo Herode wa Tanzania anadai eti hakuwepo anaomba mkanda wa ushahidi anasema hajui chanzo.