Maombi yangu kwa viongozi wa Afrika

wazanaki

JF-Expert Member
Mar 20, 2020
1,092
804
Mimi ni sauti ya samaki alie kina kirefu cha maji. Tena samaki huyu anapumua kwa shida kwa sababu maji yana kina kirefu. Lakini samaki huyu anataka kuwapa taarifa viumbe walioko nchi kavu kwamba kuna hatari anaiona inakuja ambayo viumbe hao walioko nchi kavu hawawezi kuiona.

Twende kwenye mada

Wakuu. Watanzania na waafrika kwa ujumla tunaongelea sana kuhusu barabara na miundombinu na miradi mingine kibao. Lakini kwanini hata siku moja sijawahi kusikia swala la ELIMU linakuwa serious. Je, ni ukoloni mambo leo unaimarishwa.

Hebu wakuu tuchunguze wote kwa pamoja, unajua historia ya utumwa bado haijatuacha ila imekomaa na kua smart (ukoloni mamboleo).

Mlishawahi kujiuliza why tunakomaa sana na miradi kama umeme, barabara, na vingine vingi na still wanaofaidika bado ni wazungu. Kwa sababu wenyewe wana access ya elimu pure na mikopo bank.

Hamjawahi kujiuliza kwa nn tunasomesha ma engineer wetu chuo cha mlimani lakini kazi za u engineer bado zinafanywa na mabeneru tena kwenye miradi ya pesa mingi. Hamstuki kwamba elimu bora kwa muafrika imefichwa kimakusudi kwa lengo la kutuweka kwenye trap ya utumwa?. Why elimu isitusaidie kuvumbua na instead inatusaidia kujua ku operate alivumbua mzungu.
Hamstuki kuwa "tunafundisha madereva na sio watengeneza magari"

La mwisho. Why why why, Tanzania tunakomalia Kiswahili toka primary na wakati lugha ya dunia ni Kiingereza. Na wenda tukakwama kwenye biashara wakuu. Kwann lakini wakuu. Tuachane na superiority complex za kutopenda kuongea English. Kwani huwezi iga lugha ya mtu na bado ukamzidi maendeleo kupitia lugha hiyo hiyo. Kiswahili tumezaliwa nacho. Why kujifunza. Tayari tunajua. Miaka saba ni mingi mtoto kumuandaa kwenye kiswahili alafu ghafla form 1 unabadili muelekeo wake katika lugha ya Kiingereza.

Ni mtazamo tu wakuu
 
Mimi ni sauti ya samaki alie kina kirefu cha maji. Tena samaki huyu anapumua kwa shida kwa sababu maji yana kina kirefu. Lakini samaki huyu anataka kuwapa taarifa viumbe walioko nchi kavu kwamba kuna hatari anaiona inakuja ambayo viumbe hao walioko nchi kavu hawawezi kuiona.

Twende kwenye mada

Wakuu. Watanzania na waafrika kwa ujumla tunaongelea sana kuhusu barabara na miundombinu na miradi mingine kibao. Lakini kwanini hata siku moja sijawahi kusikia swala la ELIMU linakuwa serious. Je, ni ukoloni mambo leo unaimarishwa.

Hebu wakuu tuchunguze wote kwa pamoja, unajua historia ya utumwa bado haijatuacha ila imekomaa na kua smart (ukoloni mamboleo).

Mlishawahi kujiuliza why tunakomaa sana na miradi kama umeme, barabara, na vingine vingi na still wanaofaidika bado ni wazungu. Kwa sababu wenyewe wana access ya elimu pure na mikopo bank.

Hamjawahi kujiuliza kwa nn tunasomesha ma engineer wetu chuo cha mlimani lakini kazi za u engineer bado zinafanywa na mabeneru tena kwenye miradi ya pesa mingi. Hamstuki kwamba elimu bora kwa muafrika imefichwa kimakusudi kwa lengo la kutuweka kwenye trap ya utumwa?. Why elimu isitusaidie kuvumbua na instead inatusaidia kujua ku operate alivumbua mzungu.
Hamstuki kuwa "tunafundisha madereva na sio watengeneza magari"

La mwisho. Why why why, Tanzania tunakomalia Kiswahili toka primary na wakati lugha ya dunia ni Kiingereza. Na wenda tukakwama kwenye biashara wakuu. Kwann lakini wakuu. Tuachane na superiority complex za kutopenda kuongea English. Kwani huwezi iga lugha ya mtu na bado ukamzidi maendeleo kupitia lugha hiyo hiyo. Kiswahili tumezaliwa nacho. Why kujifunza. Tayari tunajua. Miaka saba ni mingi mtoto kumuandaa kwenye kiswahili alafu ghafla form 1 unabadili muelekeo wake katika lugha ya Kiingereza.

Ni mtazamo tu wakuu
Mifumo ya elimu tumeiga toka kwao hatuna mfumo wetu wa elimu.
Maendeleo hayatokani na lugha ya kiingereza Bali ni kuiga na kutenda kwa kuona wengine wanafanye kutumia raslimali zao kujinufaisha.Umasikini Ni uwezo Mdogo wa kuona fursa zinazokuzunguka.Thus weupe wanaziona wanazitumia.
Umasikini afrika unasababishwa na watawala wa kiafrica kwa kuwafanya wananchi wawe masikini kwa kuwasomesha namba ili wawe masikini kimakusudi ili waweze kuwaabudu watawala,check tu simple mfano Kodi ya kuagiza gari ili likuingizie kipato au kurahisisha kazi za uzalishaji Ni kubwa kuliko hata gharama za kutengeneza gari kiwandani. Hawawezi kuwekeza kwenye elimu sababu elimu ufumbua walio lala mfano ukifuta umasikini umeiuwa ccm ni lzm itakufa. Mtu akiwa masikini ni lzm awe mjinga akiwa mjinga ataamini propaganda.
 
Elimu bora si mtaji mzuri kisiasa zaidi ya miundombinu.
Pia elimu haileti Kiki kisiasa, kumbuka mwanasiasa ufanya vionekanavyo kwa macho ili apate kura thus Ni rahisi kununua ndege inayoenekana na sio kuinua kilimo au elimu visivyopimika machoni.Huwezi hesabu ubora wa elimu au kilimo lkini Ni rahisi kuhesabu idadi ya majengo hata yasiyotija kiuchumi ili kumuadaa a futureless person ( wanyonge).
 
Elimu bora si mtaji mzuri kisiasa zaidi ya miundombinu.
Nakubaliana na ww mkuu. Na ndo maana hata somo la uraia na katiba darasa la saba likajinjiwa baharini.
Inasemekana Mwananchi hapaswi kujua sana kuhusu sheria na haki zake. Atasumbua utawala. Sasa sijui ni kweli.
 
Pia elimu haileti Kiki kisiasa, kumbuka mwanasiasa ufanya vionekanavyo kwa macho ili apate kura thus Ni rahisi kununua ndege inayoenekana na sio kuinua kilimo au elimu visivyopimika machoni.Huwezi hesabu ubora wa elimu au kilimo lkini Ni rahisi kuhesabu idadi ya majengo hata yasiyotija kiuchumi ili kumuadaa a futureless person ( wanyonge).
Mkuu nilikua nafikiria the same thing. Uko on point
 
Mifumo ya elimu tumeiga toka kwao hatuna mfumo wetu wa elimu.
Maendeleo hayatokani na lugha ya kiingereza Bali ni kuiga na kutenda kwa kuona wengine wanafanye kutumia raslimali zao kujinufaisha.Umasikini Ni uwezo Mdogo wa kuona fursa zinazokuzunguka.Thus weupe wanaziona wanazitumia.
Umasikini afrika unasababishwa na watawala wa kiafrica kwa kuwafanya wananchi wawe masikini kwa kuwasomesha namba ili wawe masikini kimakusudi ili waweze kuwaabudu watawala,check tu simple mfano Kodi ya kuagiza gari ili likuingizie kipato au kurahisisha kazi za uzalishaji Ni kubwa kuliko hata gharama za kutengeneza gari kiwandani. Hawawezi kuwekeza kwenye elimu sababu elimu ufumbua walio lala mfano ukifuta umasikini umeiuwa ccm ni lzm itakufa. Mtu akiwa masikini ni lzm awe mjinga akiwa mjinga ataamini propaganda.
Pia hatujawahi pata ujasiri wa kubadili syllubus ya mkoloni mpaka leo. Watoto wetu wa kiafrika wanafundishwa ku obey mashuleni. Wakati watoto wa kizungu ulaya wanafundishwa ku conquer, kumanupulate, ku divide, kurule, na kupenda cha kwao.
So unaweza ona kwamba kumbe mtoto wa kiafrika anaandaliwa kua mtumwa wakati mtoto wa kizungu anaandaliwa kua mkoloni
 
Ni kweli mkuu.

Na sababu moja wapo ya wanasiasa kutokuongelea swala la elimu ni kwa sababu asilimia kubwa ya wanasiasa ni zao hilohilo la mfumo mbovu wa elimu.
Hivyo kivyovyote vile wao hawaoni tofauti yoyote ile.

Pia huu mfumo mbovu wa elimu aliyeuleta alikuwa na mipango maalum ya muda mrefu aliyopanga na bila shaka amefanikiwa.

Ni mtazamo tu wakuu

Sio mtazamo mkuu bali ni uhalisia.
 
Mimi ni sauti ya samaki alie kina kirefu cha maji. Tena samaki huyu anapumua kwa shida kwa sababu maji yana kina kirefu. Lakini samaki huyu anataka kuwapa taarifa viumbe walioko nchi kavu kwamba kuna hatari anaiona inakuja ambayo viumbe hao walioko nchi kavu hawawezi kuiona.

Twende kwenye mada

Wakuu. Watanzania na waafrika kwa ujumla tunaongelea sana kuhusu barabara na miundombinu na miradi mingine kibao. Lakini kwanini hata siku moja sijawahi kusikia swala la ELIMU linakuwa serious. Je, ni ukoloni mambo leo unaimarishwa.

Hebu wakuu tuchunguze wote kwa pamoja, unajua historia ya utumwa bado haijatuacha ila imekomaa na kua smart (ukoloni mamboleo).

Mlishawahi kujiuliza why tunakomaa sana na miradi kama umeme, barabara, na vingine vingi na still wanaofaidika bado ni wazungu. Kwa sababu wenyewe wana access ya elimu pure na mikopo bank.

Hamjawahi kujiuliza kwa nn tunasomesha ma engineer wetu chuo cha mlimani lakini kazi za u engineer bado zinafanywa na mabeneru tena kwenye miradi ya pesa mingi. Hamstuki kwamba elimu bora kwa muafrika imefichwa kimakusudi kwa lengo la kutuweka kwenye trap ya utumwa?. Why elimu isitusaidie kuvumbua na instead inatusaidia kujua ku operate alivumbua mzungu.
Hamstuki kuwa "tunafundisha madereva na sio watengeneza magari"

La mwisho. Why why why, Tanzania tunakomalia Kiswahili toka primary na wakati lugha ya dunia ni Kiingereza. Na wenda tukakwama kwenye biashara wakuu. Kwann lakini wakuu. Tuachane na superiority complex za kutopenda kuongea English. Kwani huwezi iga lugha ya mtu na bado ukamzidi maendeleo kupitia lugha hiyo hiyo. Kiswahili tumezaliwa nacho. Why kujifunza. Tayari tunajua. Miaka saba ni mingi mtoto kumuandaa kwenye kiswahili alafu ghafla form 1 unabadili muelekeo wake katika lugha ya Kiingereza.

Ni mtazamo tu wakuu

Mkuu Genius, mada yako ni nzuri kifikra ila tatizo nawe umeichagiza katika mtizamo uleule wa kikoloni mamboleo. Na hapa ndipo penye tatizo kubwa!
Kwanini? Kwasababu hata elimu unayoiulizia hapa ni elimu ileile ya mkoloni tena kwa lugha ya kikoloni ambayo mlengo wake ni wa kumdumaza mweusi na kumkuza mzungu. Sasa hebu jiulize, mtoto mwafrika akizaliwa anakuta wazazi wake wanazungumza kilugha chao, miaka 5-6 anaaza shule ya msingi kisha akifikia miaka 13-14 anapoanza sekondari anabadilishiwa lugha ya kufundishiwa kwenda ya kigeni. Hivi unategemea kweli mtu huyo aje kuwa mbobezi kuweza kutengeneza gari mwenyewe? Unambadilishia mtu lugha ya mafunzo katika kipindi ambacho ndio kina mambo mengi ya kujifunza then utegemee ubobezi kweli??
Suluhisho hapa ni kuja na mfumo wa elimu usio na maudhui ya kikoloni kabisa, sahihi kwa mazingira yetu na ufundishwe kwa lugha ambayo ni ya kwetu. Watu wafanye tafiti na ugunduzi wa mambo ili tupige hatua, tutoke hapa tulipo. Changamoto tulizonazo zitupe akili ya kupambanua na kutoa majibu sahihi.
 
Mkuu Genius, mada yako ni nzuri kifikra ila tatizo nawe umeichagiza katika mtizamo uleule wa kikoloni mamboleo. Na hapa ndipo penye tatizo kubwa!
Kwanini? Kwasababu hata elimu unayoiulizia hapa ni elimu ileile ya mkoloni tena kwa lugha ya kikoloni ambayo mlengo wake ni wa kumdumaza mweusi na kumkuza mzungu. Sasa hebu jiulize, mtoto mwafrika akizaliwa anakuta wazazi wake wanazungumza kilugha chao, miaka 5-6 anaaza shule ya msingi kisha akifikia miaka 13-14 anapoanza sekondari anabadilishiwa lugha ya kufundishiwa kwenda ya kigeni. Hivi unategemea kweli mtu huyo aje kuwa mbobezi kuweza kutengeneza gari mwenyewe? Unambadilishia mtu lugha ya mafunzo katika kipindi ambacho ndio kina mambo mengi ya kujifunza then utegemee ubobezi kweli??
Suluhisho hapa ni kuja na mfumo wa elimu usio na maudhui ya kikoloni kabisa, sahihi kwa mazingira yetu na ufundishwe kwa lugha ambayo ni ya kwetu. Watu wafanye tafiti na ugunduzi wa mambo ili tupige hatua, tutoke hapa tulipo. Changamoto tulizonazo zitupe akili ya kupambanua na kutoa majibu sahihi.
Vyema mkuu. Ila nilikua napenda sana. Mada nyeti na yenye uzito kama hii kwa tanzania na africa kwa ujumla, ishambuliwe vibaya mno na watu kibao. Watu wamefocus sana kwenye mada za siasa na tunaacha mchawi halisi.
Hivi tufanyeje mkuu watu wawe interested na topic kama hizi?
 
Vyema mkuu. Ila nilikua napenda sana. Mada nyeti na yenye uzito kama hii kwa tanzania na africa kwa ujumla, ishambuliwe vibaya mno na watu kibao. Watu wamefocus sana kwenye mada za siasa na tunaacha mchawi halisi.
Hivi tufanyeje mkuu watu wawe interested na topic kama hizi?

Bahati mbaya sana kwetu watu weusi (wengi wetu) IQ zetu zimeegemea kwenye maarifa ya kuletewa na sio maarifa ya kutafuta. Tunapenda mambo mepesi tena yale yanayoonekana kirahisi. Ikitokea tu jambo linahitaji kufikiri na kutumia ufahamu zaidi, hakika utashuhudia namba ikipungua mpaka moja au sifuri kabisa..
Sijaelewa ni mazingira yetu ndio kisababishi au basi tu ni uvivu tulionao katika kutenda na kufikiri..
So mada kama hizi zenye kuhitaji tafakuri na ushughulishaji wa ubongo huwa hazina ladha kabisa kwa wengi wetu, sana sana mtu atapiga kimya au kusoma kichwa cha habari tu. Kila mtu atakwambia “staki shida mimi, nijisumbue ya nini, n.k”
Sasa mbaya zaidi ni ujuaji tulionao kuhusu mambo na iwapo wenye nia ya kutaka kufanya zaidi ili kutafuta suluhu, wanapojaribu tu, hukumbana na “siasa” na vikwazo mpaka wanakata tamaa.

The range of what we think and do is limited by what we fail to notice. And because we fail to notice that we failed to notice, there’s little we can do to change. Until we notice how failing to notice shapes our thoughts and deeds..”
 
Back
Top Bottom