Maji Chai
JF-Expert Member
- Dec 8, 2018
- 246
- 322
Habarini ndugu zangu,mimi ni kijana umri wa miaka 23 mkazi wa Dar es salaam -Temeke,ni mwaminifu,mchapakazi nachukua nafasi hii kuomba kuwa msaidizi wako katika shughuli zako mbalimbali za kila siku ambazo kutokana na ubize ulionao inakuwia vigumu kuzifanya.
Nipo tayari muda wowote utakaponihitaji kwa kazi yoyote,kwenda kukufanyia shopping,kunituma sehemu yoyote na kazi yoyote ile utakayotaka nifanye japo tu iwe ya halali.Ninaahidi kufanya kazi yangu kwa weledi.
Nijulishe kama utakuwa unahitaji mtu wa namna hiyo.
Nipo tayari muda wowote utakaponihitaji kwa kazi yoyote,kwenda kukufanyia shopping,kunituma sehemu yoyote na kazi yoyote ile utakayotaka nifanye japo tu iwe ya halali.Ninaahidi kufanya kazi yangu kwa weledi.
Nijulishe kama utakuwa unahitaji mtu wa namna hiyo.