Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
*MAOMBI YA KUIOMBEA JF
"Ewe Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema, mwingi wa Utukufu, Bwana wa viumbe wote, Muumba wa Mbingu na Dunia
Umeweka katika Dunia Forum ya whatsapp ya Dini, kifamilia, kirafiki, kielimu, kikazi, kisiasa, kibiashara ili watu watumie kama majukwaa ya kifikra, kuelimishana, Kufundishana, kuhabarishana, kupanga mikakati na kufurahishana.
Tunakuomba utupe hekima na busara sisi waja wako ambao tumekusanyika hapa kwenye Forum hili kutumia vema akili na maarifa uliyotujaalia kwa manufaa na ustawi wetu, Jf yetu na jamii kwa ujumla.
Utuepushe na watu wabaya wenye lugha za matusi, waongo, wafitini, wambea, wanaoleta mifarakano na uhasama usio na tija.
Tuunganishe na tuweke pamoja kama familia ili tunufaike na uwepo wa teknolojia hii ya mawasiliano.
Ewe Mola wetu tunaomba haya wewe ndie Muweza juu ya kila jambo.Amina
"Ewe Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema, mwingi wa Utukufu, Bwana wa viumbe wote, Muumba wa Mbingu na Dunia
Umeweka katika Dunia Forum ya whatsapp ya Dini, kifamilia, kirafiki, kielimu, kikazi, kisiasa, kibiashara ili watu watumie kama majukwaa ya kifikra, kuelimishana, Kufundishana, kuhabarishana, kupanga mikakati na kufurahishana.
Tunakuomba utupe hekima na busara sisi waja wako ambao tumekusanyika hapa kwenye Forum hili kutumia vema akili na maarifa uliyotujaalia kwa manufaa na ustawi wetu, Jf yetu na jamii kwa ujumla.
Utuepushe na watu wabaya wenye lugha za matusi, waongo, wafitini, wambea, wanaoleta mifarakano na uhasama usio na tija.
Tuunganishe na tuweke pamoja kama familia ili tunufaike na uwepo wa teknolojia hii ya mawasiliano.
Ewe Mola wetu tunaomba haya wewe ndie Muweza juu ya kila jambo.Amina