Bittah
Senior Member
- Jul 14, 2018
- 135
- 37
Habari ndugu zangu kwanza nipende kuwashukuru tangu natuma maombi ya chuo mlikuwa na mimi mdogo wenu kwa sasa nasoma ifm nachukua it mwaka wa kwanza napenda kupata ushauri kutoka kwenu kuhusu maombi ya field kwetu mwanza napenda kupata ushauri wenu kwa sehemu kama mwanza niombe sehem zipi zinazoendana na kozi yangu ya IT