PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,178
Hapo unapiga hesabu bao la kwanza dakika 15 la pili 30 la tatu 60 unaenda kuoga unarudi ukiwa mpya tena
Acha kuangalia XHapo unapiga hesabu bao la kwanza dakika 15 la pili 30 la tatu 60 unaenda kuoga unarudi ukiwa mpya tena
Unagonga hisabati hizo halafu unakutana na kitu cha "tikiti" plasi ng'onda juu!.Hapo unapiga hesabu bao la kwanza dakika 15 la pili 30 la tatu 60 unaenda kuoga unarudi ukiwa mpya tena
Hatari sanaUnagonga hisabati hizo halafu unakutana na kitu cha "tikiti" plasi ng'onda juu!.
Na hizi chips mayai zenu....moja tu chaliii.Hapo unapiga hesabu bao la kwanza dakika 15 la pili 30 la tatu 60 unaenda kuoga unarudi ukiwa mpya tena
Hapo tego halikai
Dah shida hiyo, ila ukikaa mda mrefu kidogo unaizoea mkuu teh teh then unachimba madini kha...Unagonga hisabati hizo halafu unakutana na kitu cha "tikiti" plasi ng'onda juu!.