TCleverly
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,921
- 866
wafanyabiashara wa kariakoo wamelalamika kwamba makontena yao yamekwama bandarini kwa zaidi ya mwezi mmoja na nusu sasa. wafanyabiashara hao wamedai kuwa tra wamepandisha ushuru ghafla kwa zaidi ya 100-200%.
leo maofisa wa tra wanahojiwa na clouds fm na wamesema kuwa kilichosababisha makontena hayo kukwama bandarini ni udanganyifu uliokuwa unafanywa na wafanyabiashara hao lkwa muda mrefu.wafanyabiashara hao walikuwa wanaorodhosha mizigo aidha tofauti au idadi ndogo na ukweli uliopo ndani ya kontena.baada ya kugundua hilo tra wakasitisha kutumia scanner na kufungua kila kontena.walichogundua ni bidhaa tofauti na zilizoandikwa.
kwa mujibu wa tra na sheria za nchi ukidanganya bidhaa uliyoleta unatakiwa upewe adhabu lakni tra waliamua kufuta adhabu na kuwapa wafanyabiashara hao siku 21 walete viuelelezo vingine vilivyo sahihi.
wafanyabiashara hao baada ya kuleta vielelezo wameishia kulalamika mitaani na kwenye vyombo vya habari.tra wanasisitiza ili makontena hayo yatoke ICD ni juu ya wafanyabiashara walete vielelezo nini kimo kwenye makontena hayo,kwa idadi gani na thamani gani la sivyo zikipita siku 21 tra wana mamlaka ya kunadi bidhaa hizo.
pia tra wanasisitiza kukagua mizigo physically badala ya scanning sio kubadili utaratibu ni uamuzi tu wa kuamua kufanyakazi,wafanyabiashara wameabuse utaratibu wa scanning ndio maana tra wameamua kufungua makontena.
tra inasisitiza wafanyabiashara walete nyaraka lakini hadi leo wamekimbia wanalalamika kwa vyombo vya habari,wafanyabiashara pia wanashauriwa walete malalamiko yao ni ofisa gani wa tra anawasumbua na watoe taarifa nini hasa anawasumbua.
kauli ya tra ni kwamba:wafanyabiashara waje watoe vielelezo,walipe kodi inayostahili wachukue mali zao
leo maofisa wa tra wanahojiwa na clouds fm na wamesema kuwa kilichosababisha makontena hayo kukwama bandarini ni udanganyifu uliokuwa unafanywa na wafanyabiashara hao lkwa muda mrefu.wafanyabiashara hao walikuwa wanaorodhosha mizigo aidha tofauti au idadi ndogo na ukweli uliopo ndani ya kontena.baada ya kugundua hilo tra wakasitisha kutumia scanner na kufungua kila kontena.walichogundua ni bidhaa tofauti na zilizoandikwa.
kwa mujibu wa tra na sheria za nchi ukidanganya bidhaa uliyoleta unatakiwa upewe adhabu lakni tra waliamua kufuta adhabu na kuwapa wafanyabiashara hao siku 21 walete viuelelezo vingine vilivyo sahihi.
wafanyabiashara hao baada ya kuleta vielelezo wameishia kulalamika mitaani na kwenye vyombo vya habari.tra wanasisitiza ili makontena hayo yatoke ICD ni juu ya wafanyabiashara walete vielelezo nini kimo kwenye makontena hayo,kwa idadi gani na thamani gani la sivyo zikipita siku 21 tra wana mamlaka ya kunadi bidhaa hizo.
pia tra wanasisitiza kukagua mizigo physically badala ya scanning sio kubadili utaratibu ni uamuzi tu wa kuamua kufanyakazi,wafanyabiashara wameabuse utaratibu wa scanning ndio maana tra wameamua kufungua makontena.
tra inasisitiza wafanyabiashara walete nyaraka lakini hadi leo wamekimbia wanalalamika kwa vyombo vya habari,wafanyabiashara pia wanashauriwa walete malalamiko yao ni ofisa gani wa tra anawasumbua na watoe taarifa nini hasa anawasumbua.
kauli ya tra ni kwamba:wafanyabiashara waje watoe vielelezo,walipe kodi inayostahili wachukue mali zao