Aaa,sijui kinachoendelea katika nchi yetu,lakini hali halisi inasikitisha.Katika watawala wetu wengi,Bwana Nkullo ni mmoja wa wale ambao nimetokea kumuona kama mtu asiye na busara na ambae anaelekea kutumikia mabwana fulani hivi.Sina haja ya kuwataja mabwana hao kwa vile wachunguzi makini wa mambo wanawaelewa.
Sasa katika siku chache zilizopita kulikuwa na mafunzo kule Morogoro ya watendaji wa Wizara yake na kama kawaida yake aliibuka na hoja ya kukemea wale ambao wana tabia ya kuvujisha siri za serikali hasa wafanyakazi wa ngazi za juu za utumishi katika Wizara yake.Tabia hii ya kulalamika kwamba siri sa serikali zinavujishwa sio ya kwake tu na ni ya siku nyingi.Ni tabia pia ya viongozi wengi wa ngazi za juu wa serikali.Mimi sina hakika siri hizi wanazo ziongelea ni siri gani.Lakini the baseline ni kwamba wote wanasukumwa na desire ya kuficha maovu.Mtendaji mzuri hawezi kuwa na kitu kinachoitwa siri,kwa vile huduma yake na utendaji wake wote ni kwa ajili ya wananchi.Kuna ubaya gani mwananchi ambaye ndiye focus ya utendaji wetu sisi wote akijua matatizo yaliyopo?By the way transparency tunayoiongelea kila kukicha ni ipi?
Naomba nimalizie kwa kumwambia Nkullo kwamba anacho jaribu kutuambia ni kwamba ni mtendaji duni na mwenye maovu mengi ambayo anajaribu kuyaficha by intimidating his surbodinates.Hiyo ilikuwa style ya EL,hata hivyo hakwenda mbali sana.Lakini napenda kumuonya kwamba hakuna jambo lisilo na na mwisho.Siku ya arobaini ipo na inakuja.
Sasa katika siku chache zilizopita kulikuwa na mafunzo kule Morogoro ya watendaji wa Wizara yake na kama kawaida yake aliibuka na hoja ya kukemea wale ambao wana tabia ya kuvujisha siri za serikali hasa wafanyakazi wa ngazi za juu za utumishi katika Wizara yake.Tabia hii ya kulalamika kwamba siri sa serikali zinavujishwa sio ya kwake tu na ni ya siku nyingi.Ni tabia pia ya viongozi wengi wa ngazi za juu wa serikali.Mimi sina hakika siri hizi wanazo ziongelea ni siri gani.Lakini the baseline ni kwamba wote wanasukumwa na desire ya kuficha maovu.Mtendaji mzuri hawezi kuwa na kitu kinachoitwa siri,kwa vile huduma yake na utendaji wake wote ni kwa ajili ya wananchi.Kuna ubaya gani mwananchi ambaye ndiye focus ya utendaji wetu sisi wote akijua matatizo yaliyopo?By the way transparency tunayoiongelea kila kukicha ni ipi?
Naomba nimalizie kwa kumwambia Nkullo kwamba anacho jaribu kutuambia ni kwamba ni mtendaji duni na mwenye maovu mengi ambayo anajaribu kuyaficha by intimidating his surbodinates.Hiyo ilikuwa style ya EL,hata hivyo hakwenda mbali sana.Lakini napenda kumuonya kwamba hakuna jambo lisilo na na mwisho.Siku ya arobaini ipo na inakuja.