Manyara: Wanachama 139 wa CHADEMA watimkia CCM

Manyara: Wanachama 139 wa CHADEMA watimkia CCM

JAMANI 1.5 ZETU HADI ZIISHE SI TUTAPOTEZA WAJINGAWAJINGA WENGI!
 
Hizi Habari tushazoea, ni kama za Yanga tu hazitupi taabu
 
Naona CCM ndiyo chama cha upinzani, kwa sababu kila siku wanakomba wanachama kutoka CHADEMA
 
General election ya 2015 cdm walipatakura zaid ya milion 6.hizi hazikuwa kura za wanachama wa cdm bali ni kura za watanzania. Na hizi zilikuwa tayari zimeshachakachuliwa. So kuhamia ccm inaweza kuwa ni mazingira fulani tu yanafanya watu wahame na siyo kila anaehamia basi ni mwanachama wa chama fulani. au ndio uhakika wa kupata kura, la hasha. Jiulize leo ni miaka 50+ ya uhuru na leo inaelekea miaka mitatu tangu huyo bwana aingie madarakan ni kipi kilichobadilika ktk hali ya maisha ya watanzania hadi uchaguz mkuu ujao ccm ipate kura zaidi. Ccm ilikufa miakamiwili kabla ya uchaguzi wa 2015.ndio maana unawaona kabisa wanapambana kusalia madarakani kwa gharama yoyote. So agenda yao si maendeleo bali kubaki madarakani waendeleze wizi wao uliokubuhu ktk njia za kisasa zaidi. Matatizo yote ya nchi hii sababu ni ccm hivyo wao wanataka kuyatatua kwa akili zilezile. Si kweli. SALAMA YA TZ NI HILI GENGE LA WALAFI, HAWA MAFIA WA CCM KUONDOKA MADAKANI! BASI! NCHI ITAPONA .akili ndogo atakuuliza nani mbadala wa ccm.
 
Dhambi ya kuumiza watoto wa watu kwa biashara ya madawa ya kulevya inaiandama Chadema.
 
Hapa monduli jana Chadema tumepokea wana CCM 2834 wamesema hawapangiwi.
Jiwe anaweza kuagiza fedha zote za miradi ya maendeleo zisipelekwe kabisa huko. Tena huyo mbunge aliyesababisha kupoteza watu 2834 shauri yake maana hapo ni sawa na kumchezea korodani simba
 
Back
Top Bottom