Kuna baadhi ya watu wachache katika jamii kwa sasa hivi hovyo sana, unakuta mtu ana 50 yrs au 60 lakini ni hovyo hovyooooo yaani jinga taboralasa, akina Deo Kisandu mfano humu JF, chizi si chizi, kichaa si kichaa, mwehu si mwehu, teja si teja, bangi yaani hata hajielewi, haeleweki, so hata akijinyonga akiwa na 50 or 60 yrs usishtuke.Tandu bhana! Yaani wanawake wote hawa! miaka 50! unaamua kujinyonga!! Aisee tutafute pesa kwa bidii, maana hiyo ndiyo sabuni pekee ya roho kwa wanawake walio wengi.
Angechukua mwingine. Toto zipo njenje, tena wife material kila kona ya nchi. Yawezekana alipata Woga wa kulea watoto watano. Na huenda alikuwa mume bwege asiyejishughulisha na kipato.Kakata tamaa mapema
Jamani huyu tumtafute tuone huyo mwanamke.Unakuta mtu kajiua, huyo demu wenyewe sasa!