MANUNUZI YA MTANDAONI NA REFUND

MANUNUZI YA MTANDAONI NA REFUND

SuperHb

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2016
Posts
992
Reaction score
968
Habari zenu,,,
Nimefanya MANUNUZI bidhaa mtandaoni kwa kutumia VISA CARD ya Vodacom,,baadae niliona bidhaa sio Bora,,,nikaamua kucancel order,,, nikarudishiwa pesa niliyofanyia malipo,,, REFUND imekamilika,,,ila kwa bahati mbaya Hela kwenye VISA CARD Vodacom,,, inaonyesha Salio 0,,,haijaingia,,,nichukue hatua Gani ndugu,,,maana nimewapigia VODACOM wananizungusha,,
 
Kwahiyo niwe na subira,,,pesa itasoma?
Wasiliana na uliyenunua mzigo kwake anaweza kukuambia muda wa kusubiri ili irudi. Mara nyingi fedha huchukuwa muda kurudi kwenye kadi yako. Huwezi ku cancel na ikarudi muda huo huo.
 
endelea kusubiri maoni ya wadau kwa makini maana kazi hizi za mitandao ya simu hua zina malalamiko mengi
 
Usijali mkuu pesa itarudi tu na bora wewe umeng'amua hilo kabla ya bidhaa kukufikia kwa maana manunuzi ya online unatakiwa uwe makini sana. Kwani mara nyingi baadhi yao huweka picha zenye mvuto lakin ubora sifuri.
 
Wasiliana na uliyenunua mzigo kwake anaweza kukuambia muda wa kusubiri ili irudi. Mara nyingi fedha huchukuwa muda kurudi kwenye kadi yako. Huwezi ku cancel na ikarudi muda huo huo.
Nilikuwa millnimeagiza bidhaa ALIBABA
 
Alibaba ,,,wao wameshaprosess pesa wameshairudisha (refund),na wameniambia niwasiliane na VODACOM Ili pesa isome kwenye card yangu,,ila kwenye M-PESA VISA CARD,,,haisomi,,,
 
Back
Top Bottom