Manunuzi ya Joseph Mbilinyi Sugu kwenye Soko la Igawilo huko Mbeya Mjini yaleta mtikisiko mkubwa


Wewe ulitarajia nini kama Bilionea kaingia kwenye Nyama Choma katika kipindi hiki cha njaa ya kipato na chakula kwa kila mtanzania kwa sasa??

Si walikuja wakijua anaweza kuwanunulia Mishikaki woote waliokuwepo hapo?

Lakini je!
Bilionea huyu aliweza?
Au aliishia blah blahtu?

Lakini iweje wamfuate kwenye mushikaki tu,lakini kwake au ofisini kwake wasiende?
wakati wanapajua na wanampenda??

Matukio Mengine ni ya kupanga tena ya kizamani kidogo.

Huyu ana Test Mitambo,baada ya kusikia mikutano Ruksa very soon!

Haya bwana mleta mada,tupe mrejesho?
Mtoa mada aambatanishe picha ya huyo jongwe na umati wake katika uelewa wake wa hii hoja.
 
Kwa hiyo hii habari umesimuliwa au?

Ingekuwa umeona ungeweka picha. Porojo tu!
 
Baada ya kupita kimya kirefu takribani miaka miwili siku ya jana aliyewahi kuwa mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi Maarufu kama Sugu, alionekana mitaani huku akishangiliwa kwa nguvu sana na Vijana.

Hii ni picha inayoashiria kuwa amerejea kwenye kutafuta jimbo ambalo kwasasa linashikiliwa na Tulia Ackson Spika wa bunge la JMT.

Wananchi mbalimbali wa Mbeya wametoa maoni yao kuwa Sugu akiamua kugombea tena Mwaka 2025 ataibuka na ushindi wa kishindo.

Huu ndiyo muda wa Siasa tunazozipenda.

Welcome back Sugu.
 
Baada ya kupita kimya kirefu takribani miaka miwili siku ya jana aliyewahi kuwa mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi Maarufu kama Sugu, alionekana mitaani huku akishangiliwa kwa nguvu sana na Vijana.

Hii ni picha inayoashiria kuwa amerejea kwenye kutafuta jimbo ambalo kwasasa linashikiliwa na Tulia Ackson Spika wa bunge la JMT.

Wananchi mbalimbali wa Mbeya wametoa maoni yao kuwa Sugu akiamua kugombea tena Mwaka 2025 ataibuka na ushindi wa kishindo.

Huu ndiyo muda wa Siasa tunazozipenda.

Welcome back Sugu.
Tulia alipewa tu hilo jimbo na yule jamaa yenu. Hakushinda kwa kura.
 
Back
Top Bottom