Mtoa mada aambatanishe picha ya huyo jongwe na umati wake katika uelewa wake wa hii hoja.Wewe ulitarajia nini kama Bilionea kaingia kwenye Nyama Choma katika kipindi hiki cha njaa ya kipato na chakula kwa kila mtanzania kwa sasa??
Si walikuja wakijua anaweza kuwanunulia Mishikaki woote waliokuwepo hapo?
Lakini je!
Bilionea huyu aliweza?
Au aliishia blah blahtu?
Lakini iweje wamfuate kwenye mushikaki tu,lakini kwake au ofisini kwake wasiende?
wakati wanapajua na wanampenda??
Matukio Mengine ni ya kupanga tena ya kizamani kidogo.
Huyu ana Test Mitambo,baada ya kusikia mikutano Ruksa very soon!
Haya bwana mleta mada,tupe mrejesho?