Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mim nilichukia polisi muda mrefu sana kwani wao wana hangaikia maisha yao magumu kwa kuwakamata vijana waendesha bodaboda eti wanaenda kwenye vijiwe na kuwapa amri eti kila mtu asimame kwenye pikipiki yake ambaye hana pikipki wanondoka nae kutoka huko walikompeleka ndugu mpaka watoe laki moja au elfu hamsini inauma sana jamani
tanzania na watu wake ni zaidi uijuavyo Manumba + Mwema = Kifo Kinyama
Sifa moja ya Watanzania ni kufanya mambo kisanii/kishkaji. Bw Reginald mengi alilalamikia kitendo cha polisi kumbambikizia mwanae madawa. Hadi leo hatuambiwi nini kinaendelea. Dr Mwakyembe ameitaja kwenye taarifa yake. Imefika mahali kama nchi tuache usanii. Hizo ni tuhuma nzito na kama nchi tuna haki ya kujua nini kilijiri. Kama ni tuhuma za uongo au ukweli hatua zichukuliwe. Hata swala la Dowans limeisha kimya kimya, nini kinaendelea, mbona tunafichwa? Siridhiki na nchi inavyoendeshwa
Join Date : 16th February 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Welcome...nadhani tume ikiundwa itakuja na jibu muafaka...nchi ya tume hii kijana!!
. Ukishailinda system hata kama wewe kilaza watakulinda tuManumba kashindwa kazi, ajiuzulu.
Kilaza kama huyu anafanya nini kwenye system??
. Ukishailinda system hata kama wewe kilaza watakulinda tu
System yote yavilaza hivyo anafiti vizuri sana hapoManumba kashindwa kazi, ajiuzulu.
Kilaza kama huyu anafanya nini kwenye system??
Mengi aliwatuhumu publicly na kuwataka Watubu, Wajiuzuru na kuwaambia kama wanaona amelizalilisha Jeshi la polisi kwa kulizushia Uongo, basi Wamshitaki na kwamba yeye amejiandaa na Ushahidi wote. Wako kimya mpaka leo!
Kama Mengi kasema uongo, mbona hawataki kujiosha mbele yetu kwa kumshitaki ili tujue kwamba kweli amelichafua Jeshi la Polisi? Wanaogopa nini!