Usiwe na wasiwasi, sisi ni watoto wa Baba Msomali na mech tumeshaimaliza, ni kwenda kuitimisha hiyo saa 1 usiku pointi zote 3 ni za kwetu!Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili kagera Leo sababu majeruhi??
Tarifa hiz zinasambaa kwenye hiz zinazoitwa online tv ( rock star tv)
Kama ni kweli daaa hataree sasa hiii
Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili kagera Leo sababu majeruhi??
Tarifa hiz zinasambaa kwenye hiz zinazoitwa online tv ( rock star tv)
Kama ni kweli daaa hataree sasa hiii
Leta matokeoHata wasipocheza wote hao bado huyo kagera anakufa goli zaidi ya mbili