JF: Akili Za Kuambiwa Changanya Na ZakoJF NJOO NA AKILI ZAKO ZOTE USIACHE HOME MAANA HATA CHAKA UNAINGIZWA TUU
Upande gani....najua kila duka hio barabara. Njia ya kwenda usalama inagawa makaburi katikati. Baada ya makaburi kuna car wash,then soko la matx,then yard ya farmer's choice, barclays iliofungwa ndio zinafuata shops fulani za cosmetics etc.
Upande wa hugo kuna duka la vifaa vya gym,tyre service centre imefungwa,jengo la ofisi, kuna sehemu wanatengeneza ac, machi machi guest house,kuna internet cafe, then hugo. Wewe duka lako lipi?
zinawekwa katika chupa zenye ujazo mdogo hivyo kuuzwa kwa bei ndogo ya kati ya elfu 10-15..zakupma ndo zinakuwaje mkuu?
Hata siku 2 sio mbayaSasa mkuu unategemea kwa 35,000/- unukie wiki nzima?!!
Naingia hapa Gsm mole najichukulia yangu.Za Diamond.
Inaitwa ChibuPerfum.
Bei Laki na elfu tano
Ok nishayajua hayo maduka...short cut ya kwenda four ways,the governors.Hapo hapo njia ya Usalama inapogawa makaburi kama unatoka Salender ni kushoto, sasa we kata kulia. Kuna maduka hapo yamejipanga kulia , yanaangalina na bar/food joint na car wash. Which means kama unatokea BAKWATA Head Office ukimaliza HUGO tu unakata kushoto, halafu maduka yapo kulia.
Bonge ya manukatoDavidoff cool water.!
How much?Bro u wanna kill dem???
No more explanation.. Yo jst go for dis dude.View attachment 490183hizi lugha za watu zinanizingua tu.
Sitaki kuweka porojo nyingi.
Ngoma ya kibabe sana.itakupa heshima isiyostaili.nunua sample tu nafikiri utarudi kunishukuru
Cologne addicted
Chibu perfume
Ok nishayajua hayo maduka...short cut ya kwenda four ways,the governors.