Imezinduliwa jana leo usiku watu ndo wanaanza mitoko ndo itaanza kusikika hivyo kufikia leo usiku utaona comment za kutosha kuhusu hiyo perfumejamani wakuu hii chibu perfume vipi?? maana naisikia tu
David Off hamnaga za Kupima wakuu
..zakupma ndo zinakuwaje mkuu?Mkuu ukitaka za kupima nenda pale mlimani city..duka liko karibu na super market ya kwanza ukiingilia mlango wa upande wa Mwenge
Sasa mkuu unategemea kwa 35,000/- unukie wiki nzima?!!Nakereka...unanunua perfume labda ya elf 35.Unajipulizia asubh,jioni huna harufu tena
Kinondoni road baada ya Barclays branch iliofungwa?
Naona watu wanaisifia Davidoof cool water mwenye ujuz atujuze maana tunataka kunukia mantashar tung'oe visiki vya geti kaliIlipo Barclays Branch iliyofungwa sipafahamu brother. Ila ni Kinondoni Road karibu na njia ya kuingilia Usalama, maeneo ya Hugo, ndio duka lilipo.
Kuhusu kwamba sina ofisi, sio kweli. Mteja alionyesha nia ya kuchukua bidhaa kwa jumla (nyingi), na kwa mazingira ya soko yalivyo recessionary kwa sasa, nikataka kama kum delivia flani, kumbe akani doubt akaona sina ofisi. Lakini nimezoea, hata kwenye website ya Amazon, Vercace, Toyota, Mercedes Benz, lazima kuna wateja wameponda na kutoa negative reviews. Ni njia mojawapo ya ku deal na ushindani vile vile. Maana hata yeye alinambia ana network kubwa ya wateja, kwa hiyo ni mshindani, si ajabu akataka kuniponda.
Na kuhusu akaunti yangu ya JF kuwa mpya. Kwa hiyo kwa mfano kama nina duka la simu, magari, nguo, perfume, na nina michango kwenye jukwaa la siasa, na jukwaa la wakubwa, nitumie akaunti hiyo hiyo moja?
Upande gani....najua kila duka hio barabara. Njia ya kwenda usalama inagawa makaburi katikati. Baada ya makaburi kuna car wash,then soko la matx,then yard ya farmer's choice, barclays iliofungwa ndio zinafuata shops fulani za cosmetics etc.Ilipo Barclays Branch iliyofungwa sipafahamu brother. Ila ni Kinondoni Road karibu na njia ya kuingilia Usalama, maeneo ya Hugo, ndio duka lilipo.
Kuhusu kwamba sina ofisi, sio kweli. Mteja alionyesha nia ya kuchukua bidhaa kwa jumla (nyingi), na kwa mazingira ya soko yalivyo recessionary kwa sasa, nikataka kama kum delivia flani, kumbe akani doubt akaona sina ofisi. Lakini nimezoea, hata kwenye website ya Amazon, Vercace, Toyota, Mercedes Benz, lazima kuna wateja wameponda na kutoa negative reviews. Ni njia mojawapo ya ku deal na ushindani vile vile. Maana hata yeye alinambia ana network kubwa ya wateja, kwa hiyo ni mshindani, si ajabu akataka kuniponda.
Na kuhusu akaunti yangu ya JF kuwa mpya. Kwa hiyo kwa mfano kama nina duka la simu, magari, nguo, perfume, na nina michango kwenye jukwaa la siasa, na jukwaa la wakubwa, nitumie akaunti hiyo hiyo moja?
Nzuri inaharufu fulani ya kiutu uzima.Naona watu wanaisifia Davidoof cool water mwenye ujuz atujuze maana tunataka kunukia mantashar tung'oe visiki vya geti kali
Kwamba inaheshima nikipita kwa maduu na ukweni kote sawa??Nzuri inaharufu fulani ya kiutu uzima.
Yeah.Kwamba inaheshima nikipita kwa maduu na ukweni kote sawa??
Bashyitye kolmije vergence