mahanjumati kind of stuff....inabidi jamii yetu iboreshe jando (kwa karne hii)au hata kwa cd...watu wafundishwe maadili ...ama kuwe na bachelor party kijana akikaribia kuoa....maana ni balaa sasaaa....unaweza ukadhani wanajuaa kumbe wanachezacheza na kijana akawa anaibiwa maana hafiki pale mwenzake anapotarajia...