Manji sema usiposema...

Yale mabilioni yaliyokamatwa dodoma kipingi cha nomination hayawezi kumuacha mtu salama!!
 
Mihuri ni kitu kinachongwa hata mitaani kwa kuwa wana visasi na manji chochote kinaweza kufanyika ili mladi lengo lao litimie kwa kumbambikia kesi ni kitu cha kawaida kwa sasa ni mwendelezo wa kesi kesi kesi mpaka 2020
 
Msumeno huu lazima utakiwa una mapengo, ungekuwa umeshakata Bashite zamani sana.
Ni kweli sheria hazifanyi kazi linapokuja kesi ya vyeti feki vya Daud Bashite Msumeno ni kwa Wapinzani wao tu, huo Msumeno ukate aliyeuza nyumba za serikali akajiuzia nyumba kadhaa kienyeji zingine akagawa kwa small house wake na mdogo wake huku kivuko kibovu cha Dsm kwenda Bagamoyo akikificha huko jeshini kukwepa lawama.
 
Yakamatwe mwaka 2015 ila mtu asiachwe salama 2017?
Waanze na aliyenunua kivuko feki, mabehewa, na mikataba ya ununuzi ndege na mikataba ya ujenzi wa Chato international Airport, Uuzaji nyumba za serikali na vyeti vya Daud Bashite.
 
Wanasema kakutwa na vitambaa vya sare za JWTZ pamoja na mihuri ya wakuu wa vikosi viwili vya JWTZ
Hivi neno sahihi ni kakutwa na mihuri ya vikosi viwili vya JWTZ ama vitu hivyo vimekutwa kwenye ghala la Kampuni ya familia yao? Leo kwenye Maghala ya Kampuni ya Bakhressa ikikutwa kilo moja ya Heroin ama Cocaine atakamatwa mzee Salim Bakharessa?
 
Hivi neno sahihi ni kakutwa na mihuri ya vikosi viwili vya JWTZ ama vitu hivyo vimekutwa kwenye ghala la Kampuni ya familia yao? Leo kwenye Maghala ya Kampuni ya Bakhressa ikikutwa kilo moja ya Heroin ama Cocaine atakamatwa mzee Salim Bakharessa?
Pia ikumbukwe yale maghala hukodishwa kwa watu mbalimbali kuhifadhi mizigo yao na mihuri ni kitu kinaweza kuchongwa kama wamedhamilia kumbambikia kesi.
 
Hapo kuna watu wamemtegeshea hivyo vyote vilivyokutwa
 
Hivi neno sahihi ni kakutwa na mihuri ya vikosi viwili vya JWTZ ama vitu hivyo vimekutwa kwenye ghala la Kampuni ya familia yao? Leo kwenye Maghala ya Kampuni ya Bakhressa ikikutwa kilo moja ya Heroin ama Cocaine atakamatwa mzee Salim Bakharessa?
Hapo ndipo ugumu ulipo maana kwa mara ya kwanza tulimsikia akihusishwa na dawa za kulevya. Lao hii tumeambiwa kuwa "amekutwa" na vitu hatari hivyo kwa usalama wa taifa. Somewhere at the back of my mind kuna kitu kinaniambia something is not right kabisa kwenye huu mchakato. Isijekuwa kuna elements za frame-up na watu wametumika kupandikiza evidence huko kwenye hayo maghala. Anyway, ngoja tuendelee kusikilizia.
 
Kama anaebdesha kwa Kasi nanyi abiria mnalalamika na akazidisha, je, mtashuka?
 
Kama dereva anaebdesha kwa Kasi nanyi abiria mnalalamika na akazidisha, je, mtashuka?
 
Manji anatia huruma aisee.

Na alivyo sleki mayai vile....hahahaha.

Hivi kafanya kosa gani kwanza?
 
Mwenzake RA alisoma alama za nyakati mapemaaaaaa - akatoka nduki!!!!!
 
Kabambikiwa kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…