swala la ushabiki wa simba na yanga ni sumu mbaya kwa watz inayowafanya kutoona mbali na kukaa wakiongea na kufikiria mambo yaleyale yasiyona na mabadiliko wala maendeleo yoyote. Manji anajua watz ni wafivu kufikiri na anajua fucus yao ipo kwa simba na yanga hivyo anajikinga kwa kutumia ujinga,njaa, ufivu wa kufikiri na mgongo wa udini kufanikisha ufisadi wake!
Mbaya zaidi kama walivyomafisadi wenzake ni watu wameishateka, kupuvusha na kuzoofisha nguvu ya serikali, mahakama na sasa bunge letu. Kesi anayomshitaki Mengi kwa kumuita fisadi papa inadhihirisha jeuri hayo na jeuri aliyonayo!!
kilichobaki ni wananchi kujipanga na kuchukua maamuzi zidi yake bila ya kutegemea serikali iliyopo wala mahakama!! hata ikitokea anapita angalau gari lake likapondwa na mawe message itakuwa imefika kwake na kwa mafisadi na kwa wahindi wenzake!