Manji alisema atafungua kesi dhidi ya Makonda, hii imefikia wapi?

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,502
6,403
Inakumbukwa baada ya kuhusishwa kwa jina la Manji katika list ile ya RC kuhusu dawa za kulevya, Manji aliongea na wanahabari na kusema atafungua kesi kumshitaki Mkuu wa Mkoa dhidi ya kumchafulia jina.

Pia kwa mwanzo tu aliripoti police akiwa na mawakili nane kama stage za mwanzo kusheria ili kumshitaki Makonda.

Ningependa kujua hii kesi Manji ameifikisha wapi?

Maana imezoeleka kesi za wakulu hawa huwa zinatolewa habari, vipi kwa hii mbona kimya.

Mwenye update zaidi please aweke hapa kuhusu kesi hii ilipofikia.
 
fb98b9b857194ad096f84b8b822026b4.jpg


Usipende kuanzisha mada kama huna data.
 
fb98b9b857194ad096f84b8b822026b4.jpg


Usipende kuanzisha mada kama huna data.
Umeelewa nilichoandika?

Unahitaji data gani zaid?

Kwaiyo iyo attachment yako ndio data?

Any way nilihitaji kujua tu manji alishafungua kesi ya kuchafuliwa jina dhidi ya Makonda?
 
We unadhani vita ya kupigana na dikteta ni rahis kiasi icho? Inapiganwa kiakili sio kwa nguvu.
 
Soma Hiyo Attachment Majibu yapo Humo
hii inaonesha yalikua madai ya kutka kujua manji anashikiliwa kwa uhalali upi

Na sio ile kesi aliyosema atafungua kumshitaki makonda kwa kumchafua na kashfa ya dawa za kulevya
 
Back
Top Bottom