SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Jinai haifi wala haioziKwahiyo najiuliza kama takukuru ilikua na kesi ya kumshataki manji mbona hawakumfuatilia kuke alipo nje ya nchi, ina maana watu wakitoroka nchini wanakua salama zaidi na ni ngumu kuwashitaki? Tangu 2018 leo mnakuja kufufua kesi baada ya muhusika kurudi nchini