Kipande cha Barabara cha Town Clinic ni Kibovu tangu nahamia Tabora Mwaka 2019. Ni Kipande ambacho hata Mita 100 hakifikishi, ndicho kinachoingia Salmini, sehemu Muhimu kiuchumi, Diwani wa eneo hilo nae Hakuna anachofanya, Shida ni Nini?
Naona mnapambana kujenga Kingo za Barabara ya Cheyo KWA Mrema ambayo hata Haina uharaka kama ambavyo hiyo ya Town Clinic!
Naona mnapambana kujenga Kingo za Barabara ya Cheyo KWA Mrema ambayo hata Haina uharaka kama ambavyo hiyo ya Town Clinic!
