Manispaa ya Kinondoni wamewataka watendaji wa Kata na Mitaa Kuhamasisha wananchi Kupendezesha maeneo kwaajili ya maandalizi ya AFCON 2027

Manispaa ya Kinondoni wamewataka watendaji wa Kata na Mitaa Kuhamasisha wananchi Kupendezesha maeneo kwaajili ya maandalizi ya AFCON 2027

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Kupitia kikao cha CMT ya Mapato cha Tarehe 19/01/2026 iliazimiwa kuwa Watendaji Wote wa Kata na Mitaa wahamasishe Wananchi walio katika Maeneo yao ambao wanamiliki Majengo ya Ghorofa kuyapaka rangi, kuweka pavement pamoja na kuweka taa katika Majengo yao ili kufanya Halmashauri yetu ya Kinondoni iweze kuwa safi na kupendeza.

3. Kwa barua hii mnaelekezwa kufanya uhamasishaji katika maeneo yenu kwa kuwajulisha Wananchi husika na Wawekezaji kufanya upendezesha wa majengo yao ili kuongeza mvuto kwa Wageni wanaotegemea kuja Nchini kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu Afrika (AFCON) Mwaka 2027.

Soma Pia: Makonda: Serikali imelipa CAF Tsh. Bilioni 82, Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027


Nawatakia utekelezaji mwema.
Screenshot 2026-03-17 174225.png
 
Back
Top Bottom