Manispaa ya Kinondoni nani anatoa vibali hivi?

kisinja

JF-Expert Member
Sep 30, 2013
241
295
Kwanza kabisa naomba nieleze masikitiko yangu kwa yanayoendelea mtaa wa Kinondoni B nyuma ya open University.

Kuna ibada zinaendelea tangu asubuhi leo ambapo wahusika wanatumia spika kubwa zenye kelele tangu asubuhi.
Nilijua ni mhadhara wa kawaida utakaoisha walao saa 12 jioni kama kawaida bahati mbaya hadi sasa ni saa saba usiku kuna makelele makubwa sana kwenye uwanja wa Machinjio sasa najiuliza hata kama ni nyimbo za madrassa basi ziwe na muda wa kuisha ili kupisha watu wapate muda wa mapumziko. Kwa kelele hizi hata kulala inakuwa ni changamoto.

Niombe manispaa wafuatilie kujua kama kibali na sheria inasema nn kuhusu mambo haya ni aibu na usumbufu mkubwa sana.

Tafadhali tulifanyie kazi
 
watu bwana!! ingekuwa anaimba diamond usingesema chochote ila kwasbb madrasa ndo waona makelele

Hayo wasema wewe mkuu. Kelele za aina yyte ni kelele tu ndo maana kuna utaratibu wa saa 12 mwisho. Yeyote awaye lazima kuheshimu haki za watu kupumzika
 
Kwanza kabisa naomba nieleze masikitiko yangu kwa yanayoendelea mtaa wa Kinondoni B nyuma ya open University.

Kuna ibada zinaendelea tangu asubuhi leo ambapo wahusika wanatumia spika kubwa zenye kelele tangu asubuhi.
Nilijua ni mhadhara wa kawaida utakaoisha walao saa 12 jioni kama kawaida bahati mbaya hadi sasa ni saa saba usiku kuna makelele makubwa sana kwenye uwanja wa Machinjio sasa najiuliza hata kama ni nyimbo za madrassa basi ziwe na muda wa kuisha ili kupisha watu wapate muda wa mapumziko. Kwa kelele hizi hata kulala inakuwa ni changamoto.

Niombe manispaa wafuatilie kujua kama kibali na sheria inasema nn kuhusu mambo haya ni aibu na usumbufu mkubwa sana.

Tafadhali tulifanyie kazi


Noise pollution, water pollution, air pollution, soil pollution, nk vipo chini ya NEMC chini ya wizara inayoshughulikia mazingira kama sijakosea, waziri wake ni January Makamba ambaye ni miongoni mwa mawaziri mizigo na hopeless, kuna changamoto nyingi kuhusiana na suala la mazingira lakini yupo kimya kabisa
 
Sheria ya uchafuzi wa mazingira na kanuni zake iko wazi. Hii ni sound pollution na ni kosa kisheria. Mwenyekiti wa mtaa anawajibika kisheria kusimamia sheria hii. Wasiliana naye.
 
Sheria ya uchafuzi wa mazingira na kanuni zake iko wazi. Hii ni sound pollution na ni kosa kisheria. Mwenyekiti wa mtaa anawajibika kisheria kusimamia sheria hii. Wasiliana naye.

What if Mwenyekiti wa serikali ya mtaa alijumuika kwenye hiyo shughuli
 
Kwanza kabisa naomba nieleze masikitiko yangu kwa yanayoendelea mtaa wa Kinondoni B nyuma ya open University.

Kuna ibada zinaendelea tangu asubuhi leo ambapo wahusika wanatumia spika kubwa zenye kelele tangu asubuhi.
Nilijua ni mhadhara wa kawaida utakaoisha walao saa 12 jioni kama kawaida bahati mbaya hadi sasa ni saa saba usiku kuna makelele makubwa sana kwenye uwanja wa Machinjio sasa najiuliza hata kama ni nyimbo za madrassa basi ziwe na muda wa kuisha ili kupisha watu wapate muda wa mapumziko. Kwa kelele hizi hata kulala inakuwa ni changamoto.

Niombe manispaa wafuatilie kujua kama kibali na sheria inasema nn kuhusu mambo haya ni aibu na usumbufu mkubwa sana.

Tafadhali tulifanyie kazi
Sheria zibadilike nyumba zote ziwe soundproof Naona tatizo linazidi kuwa kubwa.
 
Back
Top Bottom