Manifestation Secret

Manifestation Secret

krystiano7

Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
94
Reaction score
132
Habari wakuu!

Leo nataka niwashirikishe mojawapo ya njia ya kuweza kupata au kufanikisha kitu chochote ambacho unahisi ni kigumu katika maisha yako. Moja wapo ya njia hii ni kutoa chochote kwa nature(give something to the nature).

Mfano unajua una kikao muhimu sana kabla ya kwenda kwenye hicho kikao unaweza kwenda sehem ambayo wanauza nyuki ukanunua nyuki wale na kuwaachia,unaweza amua kupanda miti nk. Ancient culters walitumia njia km hizi kwa miaka mingi kwa kutoa/providing to nature in order to bring good fortunes.

Natoweka nikiweweseka kiwendazimu.
 
mkuu krystiano7 ukija naomba ufafanue zaidi. Kama nieelewa hivi.
Mkuu unajua binadamu wanyama mimea nk wote tunaconnection,hivyo unapofanya jema juu ya vitu hivyo ulimwengu nao unakuzawadia kitu utakacho,ni km vile tunavyoaswa kutowatendea vibaya watu na kuogopa kwamba na sisi tutatendewa vibaya. Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia kwamba ukifanya biashara ya kuuza mkaa utaifanya kwa miaka mingi bila kukua au usikue kabisa maana biashara hiyo inahusisha kukata miti ambayo ni chanzo kimojawapo cha kutunza nature(japo sina uhakika na hili)
 
Habari wakuu!!
Leo nataka niwashirikishe mojawapo ya njia ya kuweza kupata au kufanikisha kitu chochote ambacho unahisi ni kigumu katika maisha yako. Moja wapo ya njia hii ni kutoa chochote kwa nature(give something to the nature).

Mfano unajua una kikao muhimu sana kabla ya kwenda kwenye hicho kikao unaweza kwenda sehem ambayo wanauza nyuki ukanunua nyuki wale na kuwaachia,unaweza amua kupanda miti nk. Ancient culters walitumia njia km hizi kwa miaka mingi kwa kutoa/providing to nature in order to bring good fortunes.

Natoweka nikiweweseka kiwendazimu
This is true
 
Mkuu unajua binadamu wanyama mimea nk wote tunaconnection,hivyo unapofanya jema juu ya vitu hivyo ulimwengu nao unakuzawadia kitu utakacho,ni km vile tunavyoaswa kutowatendea vibaya watu na kuogopa kwamba na sisi tutatendewa vibaya. Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia kwamba ukifanya biashara ya kuuza mkaa utaifanya kwa miaka mingi bila kukua au usikue kabisa maana biashara hiyo inahusisha kukata miti ambayo ni chanzo kimojawapo cha kutunza nature(japo sina uhakika na hili)
Aisee mbona wauza mbao Ni matajiri fresh tu.
 
Mkuu unajua binadamu wanyama mimea nk wote tunaconnection,hivyo unapofanya jema juu ya vitu hivyo ulimwengu nao unakuzawadia kitu utakacho,ni km vile tunavyoaswa kutowatendea vibaya watu na kuogopa kwamba na sisi tutatendewa vibaya. Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia kwamba ukifanya biashara ya kuuza mkaa utaifanya kwa miaka mingi bila kukua au usikue kabisa maana biashara hiyo inahusisha kukata miti ambayo ni chanzo kimojawapo cha kutunza nature(japo sina uhakika na hili)
Vipi mtu anayefanya biashara ya kuuza nyama
 
Ofcouz Ni lzm pia ku preserve nature iliyosambamba na ss binadamu wkt mwingine siyo kila unapomuona nyoka unamuua ,Kuna sababu yey kuwepo nasi ktk sayari hi other wise tupende nature tumwagilie maua na kupanda miti
 
Back
Top Bottom