Mangwea tangulia!

Mangwea tangulia!

mangwea kila la kheri uko uendako bestito nitakumiss sana acha nikuachie kiss hili mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kaunga alikusikia, akashindwa kufikiria,
Umauti umekufikia, huku Smile anakulilia,
Hakuna mtu aliyezimia, ila Paloma anaugulia,
Mangwea tangulia!

WanaChitChat tunakuombea, mahali pema kuelekea,
Japo mwenzio kakufuatia, haina budi kuvumilia,
Mwanao ataangaliwa, shaka kabisa ondoa,
Mangwea tangulia.

Uchakachuzi unapoanzia

Erickb52 nakuhusia, Chocs kumsikia,
Chochote anachokuambia, ni vyema kumfanyia,
Mapochopocho kumnunulia, na upendo kumuonyeshea,
B52 nakuambia, natumaini hautomkimbia.

Mr Rocky angalia, njia unazokimbilia,
Mamndenyi anakulilia,weye wafurahi na Nivea,
Baba V anakuangalia, bila hata kukukemea,
Rocky kuwa makini, umshinde TUMAINI.

sosoliso nakuapia, Paloma kukuchukulia,
Khanga moja kunivalia, na macho hunilegezea,
Wowowo kunitingishia, na mwendo hunibadilishia,
Soso angalia, kabla sijakuingilia.

Shairi nalimaliza, japo nimewaumiza,
Mizaha nimeiendekeza, na ukweli kuwajuza,
Someni mkijiuliza, na pia kunijibiza,
Shukrani natanguliza, kumradhi kwa niliowakwaza.

Aisome Asprin, Slave, Bishanga, manoah, King'asti, Kongosho, Zamaulid, Queen Kan, kamtu33, Dark City, Safari_ni_Safari, Elli, Filipo na wengine nilioshindwa kuwataja.

saudari porojo zote hizi kumbe shida yako umtongoze Paloma?
Copy: sosoliso ....watch out meeeeen!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom