M/kiti wa Simba na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally wanapaswa kuachia ngazi kwani hao wanaihujumu simba kwa kufanya propaganda za kuisifu simba kwamba ni Bora ili ionekana ni timu Moja imara yenye wachezaji wazuri kumbe wanaifanyia propaganda ya kutufunga macho.
Bila ya Hawa kuondoka Simba haitapata ubingwa wa ligi kuu kuanzia msimu 2025/2026 na baadae kwani viongozi hao wanatumika na GSM
Hivyo wanasimba kuweni makini ndo maana baada ya kufungwa na Yanga tu kijana Ahmed Ally kwa furaha alienda kuoa mke wa pili mtoto wa Mariam Migomba.
Chondechonde hao wote wanatoka Mtwara na ni Yanga
Bila ya Hawa kuondoka Simba haitapata ubingwa wa ligi kuu kuanzia msimu 2025/2026 na baadae kwani viongozi hao wanatumika na GSM
Hivyo wanasimba kuweni makini ndo maana baada ya kufungwa na Yanga tu kijana Ahmed Ally kwa furaha alienda kuoa mke wa pili mtoto wa Mariam Migomba.
Chondechonde hao wote wanatoka Mtwara na ni Yanga