Mangungu na Ahmed Ally watupishe Simba

Mangungu na Ahmed Ally watupishe Simba

Nakubaliana na wazo lakini mstari wa mwisho ndio napingana na wewe.

Simba haina Quality ya wachezaji.
Tumia tu akili ya kawaida ya kuvukia Barabara.
Kwenye Eneo la No 10 yanga wamekuwa na Wachezaji wafuatao.
-Azizi ki.
-Chama.
-Max.
-Pakome.
-Mudadhiri.
SIMBA KWENYE NO 10 INA NANI??????.
TUMIA AKILI NDOGO TU YA KAWAIDA.
Kaongezeka ecua ange.
Nae anauwezo huo
 
M/kiti wa Simba na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally wanapaswa kuachia ngazi kwani hao wanaihujumu simba kwa kufanya propaganda za kuisifu simba kwamba ni Bora ili ionekana ni timu Moja imara yenye wachezaji wazuri kumbe wanaifanyia propaganda ya kutufunga macho.

Bila ya Hawa kuondoka Simba haitapata ubingwa wa ligi kuu kuanzia msimu 2025/2026 na baadae kwani viongozi hao wanatumika na GSM

Hivyo wanasimba kuweni makini ndo maana baada ya kufungwa na Yanga tu kijana Ahmed Ally kwa furaha alienda kuoa mke wa pili mtoto wa Mariam Migomba.

Chondechonde hao wote wanatoka Mtwara na ni Yanga
Mng'atane hata mwondoane masikio ila mwachiane macho.
 
Sasa Ahmed ana shida gani nyie
Hapo msimbazi mbona hamuelewi changamoto zenu.
 
Back
Top Bottom