Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,149
We jadili alichoandika mkuu haya mambo ya nani ndio nani ndio yamefiisha nchi hapa watu hawajadili sera wala taasisi kila uchao majina ya watu tu. . . . .
We fisadi nyerere yupi unamzungumzia we fisadi kamabarange alikuwa na timu ya wenzake katika kuanzisha chama lakini chadema ni chama cha familia.
TAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA ������
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...
1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)
2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)
3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)
4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)
5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema (mchaga, kilimanjaro)
6. Naibu katibu Mkuu wa chama - John
Mnyika ( mpare wa kilimanjaro mwenye maskani yake Dar)
7. Mwenyekiti wa Wanawake Halima Mdee (Mpare wa Kilimanjaro mwenye maskani yake Dar es Salaam)
8. Makamu mwenyekiti wa Wazee Susan Lymo (mchaga wa Kilimanjaro)
9. Walinzi wote wa Mbowe (wachaga wa Kilimanjaro)
10. Asilimia 98 ya madereva wa Chama wachaga wa Kilimanjaro
Asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na
Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Joyce
Mukya, Grace Kihwelu, Suzan Lymo, Lucy Ndesamburo Owenya, Cecilia Pareso, Rebecca Mngodo na Rose Kamili.
11:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB
wa kuteuliwa,
12k Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb
wa kuteuliwa
13:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa
Kuteuliwa
16:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB
kuteuliwa
16:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe
Mwenyekiti wa Chama,
Hii familia inataka iongoze watu zaidi ya milioni
44 haitakuja kutokea katika historia ya Tanzania
Ndio wanafamilia hawahawa waliomtengenezea zengwe la kumfukuza Mh Zitto Kabwe katika chama hiki cha kifamilia baada ya kuona anakubalika ndani ya chama hicho na anauwezo wa kuwa mwenyekiti endapo angechuana na Mbowe lakini si mchaga wala mtu was kaskazini.
Hapo ndipo vikao vya kifamilia vikaanza na kuamua kumtimua Zitto.
Wanafamilia hawa ndio wamemuuzia chama chao Edward Lowassa kwa kiasi cha Billion 10 ili agombee urais kupitia chama hiki! Dr Slaa alipohoji akaambiwa wewe sio mwanafamilia hivyo tulikustili kwa muda tu. Ndipo slaa akagundua kuwa sio chama bali ni SACCOS na kuamua kujiengua.
Mwl Nyerere aliwahi kusema, nanukuu " Mtu anayeonekana anapenda sana kwenda ikulu hafai hata kidogo ni wa kukwepa kama Ukoma".
NDG watanzania huyu Lowassa anavyopenda sana kwenda ikulu tumkwepe. Hizo bilioni 10 alizonunulia chama anataka akazirudishe kwa kutuibia sisi wananchi. ZINDUKA!
Kama amenunua chama akipewa nchi siataiuza kurudisha gharama zake......!!!!?
#SayNo2Fisadi
#FisadiMwikoIkulu
#RestInPeaceFisadi
#NoEntryBigFisadi
JIUNGE NA KAMPENI HIZI KUIOKOA NCHI YETU
JOIN THE MOVE TO RESCUE OUR COUNTRY
Ukawa umeenea nchi nzima, hoja za ukabila na udini hazinamashiko tena. Ila point ni kwamba watu wanataka CCM out, yaani isingekuwa ukawaingekuwa chadema na hata kama ingekuwa chadema ya wachaga tupu bado watu wangeisapotitu kwa sababu WATU WAMECHOKA, vijana waliozaliwa miaka 30 iliyopita watoto wamlala hoi neema wanaisikia tu kwenye tv, wanaisoma kwenye vitabu vya dini nakuikodolea macho kwa watoto wa vigogo. Hawako tayari kudanganywa kwa miakamingine 10.
Hapo kwa mafisadi ni kichekesho, mafisadi wa escrow, epa,etc etc wapo ccm kwa hiyo kwa suala la ufisadi ccm bado wameshika namba
Bilioni 10 ni hadithi za paukwa na pakawa until proven, naikiwa proved ushahidi upelekwe takukuru wahusika wakashughulikiwe kule, ukawa watabadilishamagurudumu yalopata pancha safari itaendelea.
Kwa suala la Nyerere ikumbukwe ni Nyerere huyo huyo alisema,kama mtu anakubalika na watu mpitisheni huyo, alisema chama kitakacho mkataamgombea anayekubalika na wengi kitalia machozi ambayo hayataweza kufutika,alisema hamchagui katibu wa chama mnachagua raisi .mtazamo wa watu ni muhimusaaana!
CCM ni ya Kikwete, Salma, Riziwani na houseboy wao Makufuli
Acha upotishaji wa kijinga nimesoma ujinga wako huu nimegundua huna lolote unalolifahamu kuhusu chama demokrasia na maendeleo ...tunakukaribisha chadema kama umechoka na maisha ya lumumbaTAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA &[HASHTAG]#128071[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128071[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128071[/HASHTAG];
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...
1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)
2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)
3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)
4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)
5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema (mchaga, kilimanjaro)
6. Naibu katibu Mkuu wa chama - John
Mnyika ( mpare wa kilimanjaro mwenye maskani yake Dar)
7. Mwenyekiti wa Wanawake Halima Mdee (Mpare wa Kilimanjaro mwenye maskani yake Dar es Salaam)
8. Makamu mwenyekiti wa Wazee Susan Lymo (mchaga wa Kilimanjaro)
9. Walinzi wote wa Mbowe (wachaga wa Kilimanjaro)
10. Asilimia 98 ya madereva wa Chama wachaga wa Kilimanjaro
Asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na
Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Joyce
Mukya, Grace Kihwelu, Suzan Lymo, Lucy Ndesamburo Owenya, Cecilia Pareso, Rebecca Mngodo na Rose Kamili.
11:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB
wa kuteuliwa,
12k Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb
wa kuteuliwa
13:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa
Kuteuliwa
16:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB
kuteuliwa
16:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe
Mwenyekiti wa Chama,
Hii familia inataka iongoze watu zaidi ya milioni
44 haitakuja kutokea katika historia ya Tanzania
Ndio wanafamilia hawahawa waliomtengenezea zengwe la kumfukuza Mh Zitto Kabwe katika chama hiki cha kifamilia baada ya kuona anakubalika ndani ya chama hicho na anauwezo wa kuwa mwenyekiti endapo angechuana na Mbowe lakini si mchaga wala mtu was kaskazini.
Hapo ndipo vikao vya kifamilia vikaanza na kuamua kumtimua Zitto.
Wanafamilia hawa ndio wamemuuzia chama chao Edward Lowassa kwa kiasi cha Billion 10 ili agombee urais kupitia chama hiki! Dr Slaa alipohoji akaambiwa wewe sio mwanafamilia hivyo tulikustili kwa muda tu. Ndipo slaa akagundua kuwa sio chama bali ni SACCOS na kuamua kujiengua.
Mwl Nyerere aliwahi kusema, nanukuu " Mtu anayeonekana anapenda sana kwenda ikulu hafai hata kidogo ni wa kukwepa kama Ukoma".
NDG watanzania huyu Lowassa anavyopenda sana kwenda ikulu tumkwepe. Hizo bilioni 10 alizonunulia chama anataka akazirudishe kwa kutuibia sisi wananchi. ZINDUKA!
Kama amenunua chama akipewa nchi siataiuza kurudisha gharama zake......!!!!?
[HASHTAG]#SayNo2Fisadi[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FisadiMwikoIkulu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#RestInPeaceFisadi[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NoEntryBigFisadi[/HASHTAG]
JIUNGE NA KAMPENI HIZI KUIOKOA NCHI YETU
JOIN THE MOVE TO RESCUE OUR COUNTRY
Acha upotishaji wa kijinga nimesoma ujinga wako huu nimegundua huna lolote unalolifahamu kuhusu chama demokrasia na maendeleo ...tunakukaribisha chadema kama umechoka na maisha ya lumumba