Mange Kimambi, Diamond Platinumz, Ali Kiba; Sijawahi kuwafollow watu hawa

haaaaa haaaaa haaaaa
trillion 3 hela!!!!?
acha uongo net worth ya 50 cent haifiki hata $ 500 million sasa hiyo trillion 3 aliziingiza mwaka gani?
Kasome Google Bro unakuwa mbishi umesomaa,!?
Nikusaidie andika 50 cent on making power series profit margin
 
Kwa maongezi yako a uhakika hauko America, kwa mimi niliye ishi America natambua kwanza ni jambo la aibu sana kusema eti mimi na rafiki zangu tunaongelea Jay Z halafu isitoshe unapokua nje una kua una miss mamo ya Tanzania home,, garbage yoyote toka Tanzania ni dili , usitudanganye wewe
 
Kwa maongezi yako a uhakika hauko America, kwa mimi niliye ishi America natambua kwanza ni jambo la aibu sana kusema eti mimi na rafiki zangu tunaongelea Jay Z halafu isitoshe unapokua nje una kua una miss mamo ya Tanzania home,, garbage yoyote toka Tanzania ni dili , usitudanganye wewe
Unafosi maisha yangu yafanane na yako ili iweje labda?!
Pambana na hali yako Bro
Hao celeb was marekani nimetolea mfano hapa kwasababu wengi mnawafahamu ningewataja msiowafahamu ingekuwa kesi kabisaa kifupi hatufanani kimaisha pole sana
 
Kusema ukweli sijui ni marafiki nilionao au hata sielewi lakini hauwezi amini mimi money penny sijawahi KUMFOLLOW Mange Kimambi Instagram wala Facebook wala twitter

Diamond platnumz sijawahi KUMFOLLOW instagram wala Facebook wala twitter zaidi ya kula karanga na kuskiza mziki kwenye gari ya dereva was ofisini kwa mume

Ali Kiba nampenda sana mimi ni team Kiba lakini sijawahi KUMFOLLOW sijui instagram wala Facebook wala twitter sijui Snapchat

Hizo social media zote ninazo na kila. Siku lazima niingie kuperuz ila hawa watu kuwafollow haijawahi kunitokea kabisaa

Wema sijawahi KUMFOLLOW
Lulu sijawahi KUMFOLLOW
Wolverhampton stylish sijawahi KUMFOLLOW
Shihi baby... snura. .. anti ezekiel. ..moze iyobo... Zari... Hamisa...clouds media grup... efm... wasafi crew... sijawahi kuwafollow hate siku 1

Mimi nipo more focused na celebrity was marekani na uingereza hasa blacks kidogo wale wananipa kitu cha kuwafollow

Mimi na marafiki zangu tukikaa hautaskia tunaongelea bongo movie wala platnumz sijui zari sijui hamisa never tunaongelea Janet Jackson... Beyonce. ..JayZ. .. BET CREW... LONDON CREW... maraisi wa dunia... Raisi Wangu Mh. MAGUFULI na crew yake eeh... waandishi akina Daniel Steel na wengine wengi.... wanamziki akina Producer mume wa Alicia Keys... Trace Elis Ross... Diana Ross... Celine Dione... P.Diddy... Mary Mary singers... Dolly Pardon...watu ambao ukiwaangalia leo unajjifunza kitu...watu interesting ndio tunadiscuss sio vinginevyo ... Kwanzaa nikiliamsha kudiscuss Platnumz kila mtu anaaga anaondoka mana mmekosa cha kuongea

Mwenzangu niko na wakati mzuri at the same time naweza sema mgumu. .. Ni sawa kuwafollow raia was Kenya lakini haumfuatilii Msaniii hata mmoja wa Kenya unafuatilia was Tz

Tupo buzy na maisha than chasing celebrities ambao hawaniongezei chochote kwenye maisha yangu

Mange Kimambi namfahamu na nampenda sana Kwanzaa yeye ni March Baby mwenzangu ila walaaa sijawahi mfollow zaidi ya kumsoma wakimuandika jamii forum sio follower wake!

Wabongo wanamuda jamaani. .. tujaribu kudiscuss vitu vya maendeleo zaidi hao mnaowadiscuss mnawaingizia fedha alafu unatoka kapa si bora udiscuss mtu ukamwingizia hela inakusaidia kujifunza kitu ukapata idea ukatengeneza kitu kikakuingizia pesa ambayo haukutegemea na idea unique...

Ni hayo.tu kuhusu mie Money Penny

Wasaniii wote wa tz nawapenda ila sijawahi kuwafollow kiviiile kama watz wenzangu wanavyofollow hawalali
Umejuaje birthday ya Mange
 
Vitu vya maendeleo havina nafasi kwa wabongo.

Wabongo wako busy na ushilawadu wakiongozwa na rais wao.

Ukitaka mijadala iliyo hot kwenye mitandao ni ile ihusuyo ngono na kila aina ya umbea.

Mijadala inayohusu uchumi, siasa ambayo ndio inayoamua maisha yetu ya kila siku zote hizi hazinaga hata wachangiaji
Safii, naona unatekeleza
 
Hakuna ushamba mbaya kama ule wa kutaka uonekane au ujulikane kwa watu kwamba wewe ni mtu wa aina fulani,ubaya wa huu ushamba ni kwamba hata kama kweli wewe ni mtu wa aina hiyo ila kitendo cha kutaka watu wakujue hivyo inaonesha una ushamba wa kuzaliwa mfano kama Le mutuz mmoja wa watu wenye ushamba wa kuzaliwa, na ni ushamba mbaya sana sawa na ugonjwa usio na tiba.
 
Kasome Google Bro unakuwa mbishi umesomaa,!?
Nikusaidie andika 50 cent on making power series profit margin
Ingekuwa kweli 50cent angekuwa kwenye list ya mabilionea kitu ambacho hata pdiddy bado hajafanikiwa.
Maana tilion 3 ungezibadiri kwenye dollars unaongelea bilion dollars kadhaa.
Mpaka sasa hakuna mwana hip hop bilionea marekani
 
Kuwa mkweli tu,una genes ya utumwa na kuna siku utaenda kulea wazee ulaya wakati mamio hana kadi ya bima ya afya!
 
Kusema ukweli sijui ni marafiki nilionao au hata sielewi lakini hauwezi amini mimi money penny sijawahi KUMFOLLOW Mange Kimambi Instagram wala Facebook wala twitter

Diamond platnumz sijawahi KUMFOLLOW instagram wala Facebook wala twitter zaidi ya kula karanga na kuskiza mziki kwenye gari ya dereva was ofisini kwa mume

Ali Kiba nampenda sana mimi ni team Kiba lakini sijawahi KUMFOLLOW sijui instagram wala Facebook wala twitter sijui Snapchat

Hizo social media zote ninazo na kila. Siku lazima niingie kuperuz ila hawa watu kuwafollow haijawahi kunitokea kabisaa

Wema sijawahi KUMFOLLOW
Lulu sijawahi KUMFOLLOW
Wolverhampton stylish sijawahi KUMFOLLOW
Shihi baby... snura. .. anti ezekiel. ..moze iyobo... Zari... Hamisa...clouds media grup... efm... wasafi crew... sijawahi kuwafollow hate siku 1

Mimi nipo more focused na celebrity was marekani na uingereza hasa blacks kidogo wale wananipa kitu cha kuwafollow

Mimi na marafiki zangu tukikaa hautaskia tunaongelea bongo movie wala platnumz sijui zari sijui hamisa never tunaongelea Janet Jackson... Beyonce. ..JayZ. .. BET CREW... LONDON CREW... maraisi wa dunia... Raisi Wangu Mh. MAGUFULI na crew yake eeh... waandishi akina Daniel Steel na wengine wengi.... wanamziki akina Producer mume wa Alicia Keys... Trace Elis Ross... Diana Ross... Celine Dione... P.Diddy... Mary Mary singers... Dolly Pardon...watu ambao ukiwaangalia leo unajjifunza kitu...watu interesting ndio tunadiscuss sio vinginevyo ... Kwanzaa nikiliamsha kudiscuss Platnumz kila mtu anaaga anaondoka mana mmekosa cha kuongea

Mwenzangu niko na wakati mzuri at the same time naweza sema mgumu. .. Ni sawa kuwafollow raia was Kenya lakini haumfuatilii Msaniii hata mmoja wa Kenya unafuatilia was Tz

Tupo buzy na maisha than chasing celebrities ambao hawaniongezei chochote kwenye maisha yangu

Mange Kimambi namfahamu na nampenda sana Kwanzaa yeye ni March Baby mwenzangu ila walaaa sijawahi mfollow zaidi ya kumsoma wakimuandika jamii forum sio follower wake!

Wabongo wanamuda jamaani. .. tujaribu kudiscuss vitu vya maendeleo zaidi hao mnaowadiscuss mnawaingizia fedha alafu unatoka kapa si bora udiscuss mtu ukamwingizia hela inakusaidia kujifunza kitu ukapata idea ukatengeneza kitu kikakuingizia pesa ambayo haukutegemea na idea unique...

Ni hayo.tu kuhusu mie Money Penny

Wasaniii wote wa tz nawapenda ila sijawahi kuwafollow kiviiile kama watz wenzangu wanavyofollow hawalali
Waambie japokua hawatakubali, lkn ni watumwa wa kiwango cha juu cha utumwa.
 
wewe kama mimi,the only news nazofatilia ni ishu za kuhusu nchi yangu na viongozi wangu waliopo madarakani na mwisho ni kuwaombea waliongoze Taifa vyema,social media tupa kule ujinga/upupu mtupu umejaa huko.
 
Kusema ukweli sijui ni marafiki nilionao au hata sielewi lakini hauwezi amini mimi money penny sijawahi KUMFOLLOW Mange Kimambi Instagram wala Facebook wala twitter

Diamond platnumz sijawahi KUMFOLLOW instagram wala Facebook wala twitter zaidi ya kula karanga na kuskiza mziki kwenye gari ya dereva was ofisini kwa mume

Ali Kiba nampenda sana mimi ni team Kiba lakini sijawahi KUMFOLLOW sijui instagram wala Facebook wala twitter sijui Snapchat

Hizo social media zote ninazo na kila. Siku lazima niingie kuperuz ila hawa watu kuwafollow haijawahi kunitokea kabisaa

Wema sijawahi KUMFOLLOW
Lulu sijawahi KUMFOLLOW
Wolverhampton stylish sijawahi KUMFOLLOW
Shihi baby... snura. .. anti ezekiel. ..moze iyobo... Zari... Hamisa...clouds media grup... efm... wasafi crew... sijawahi kuwafollow hate siku 1

Mimi nipo more focused na celebrity was marekani na uingereza hasa blacks kidogo wale wananipa kitu cha kuwafollow

Mimi na marafiki zangu tukikaa hautaskia tunaongelea bongo movie wala platnumz sijui zari sijui hamisa never tunaongelea Janet Jackson... Beyonce. ..JayZ. .. BET CREW... LONDON CREW... maraisi wa dunia... Raisi Wangu Mh. MAGUFULI na crew yake eeh... waandishi akina Daniel Steel na wengine wengi.... wanamziki akina Producer mume wa Alicia Keys... Trace Elis Ross... Diana Ross... Celine Dione... P.Diddy... Mary Mary singers... Dolly Pardon...watu ambao ukiwaangalia leo unajjifunza kitu...watu interesting ndio tunadiscuss sio vinginevyo ... Kwanzaa nikiliamsha kudiscuss Platnumz kila mtu anaaga anaondoka mana mmekosa cha kuongea

Mwenzangu niko na wakati mzuri at the same time naweza sema mgumu. .. Ni sawa kuwafollow raia was Kenya lakini haumfuatilii Msaniii hata mmoja wa Kenya unafuatilia was Tz

Tupo buzy na maisha than chasing celebrities ambao hawaniongezei chochote kwenye maisha yangu

Mange Kimambi namfahamu na nampenda sana Kwanzaa yeye ni March Baby mwenzangu ila walaaa sijawahi mfollow zaidi ya kumsoma wakimuandika jamii forum sio follower wake!

Wabongo wanamuda jamaani. .. tujaribu kudiscuss vitu vya maendeleo zaidi hao mnaowadiscuss mnawaingizia fedha alafu unatoka kapa si bora udiscuss mtu ukamwingizia hela inakusaidia kujifunza kitu ukapata idea ukatengeneza kitu kikakuingizia pesa ambayo haukutegemea na idea unique...

Ni hayo.tu kuhusu mie Money Penny

Wasaniii wote wa tz nawapenda ila sijawahi kuwafollow kiviiile kama watz wenzangu wanavyofollow hawalali
colonial mentality.
"the battle always is the battle of the mind,if your mind is conquered then,you are going nowhere"plo.
 
Back
Top Bottom