Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Mange Kimambi ni mdada wa mjini, mtoto wa marehemu Jumanne Kimambi alikuwa mfanya biashara mashuhuri miaka ya 90. Mange alipata mchumba mchuma wa kimarekani wakati akiwa anaishi Dubai na alifunga ndoa Dar. Ni mama wa watoto watatu na anaishi Marekani. Amaeachwa na mzungu juzi tu, wino kwenye karatasi ya talaka haujakauka bado.
Who behind Mange?
Huyu dada kuna watu wapo nyuma yake, anafanya hivi kama kazi.
 
Jamani anaeweza kumuonya yule mtoto wa kike amounye, anakokwenda si kuzuri hata kidogo, hivi hajui kuwa rais Magufuli anaweza kuwasiliana na Interpol, FBI au CIA na akahojiwa?
Kwa sheria za mitandao za USA kamwe hawawezi Dada... Mange ni Raia wa USA
 
Who behind Mange?
Huyu dada kuna watu wapo nyuma yake, anafanya hivi kama kazi.
Ana influence sana katika society ya kibongo, baada ya kuolewa na mzungu, vitoto vya secondary mpaka vyuoni vikaona hayo ndiyo maisha, akaanza hata kuwatafutia madanga ya kizungu mtandaoni. Hii influence yake angeitumia ina a positive way angefika mbali sana.
 
Ana influence sana katika society ya kibongo, baada ya kuolewa na mzungu, vitoto vya secondary mpaka vyuoni vikaona hayo ndiyo maisha, akaanza hata kuwatafutia madanga ya kizungu mtandaoni. Hii influence yake angeitumia ina a positive way angefika mbali sana.
Sidhani kama mange anafanya hivi kwa matakwa yake, yote anayotupiaa kwenye acc yake anatumiwa na watu ambao wapo humu Tz. Nimekuambia anafanya hivi kama kazi, na wenzetu wapo wanaolipwa kwa kazi kama hizi.
CCM ilimtumia sana kipindi cha uchaguzi, alipiga ela za kumtukana lowassa.

Nasikia february alimtapeli pesa zake walizokubaliana katika kampeni za uchaguzi , ndio maana akafumua lile bomu la february na mtaliano
 
"Joti ana stress za kukosa kilainishi"
What the hell does she mean?

kuna video za ucheshi huko youtube joti kaigiza kama Mzee wa pwani kaenda Dukani kununua kilainishi akakosa.......( kumbuka baada ya serikali na makonda kuzuia vilainishi kwa kinakaoge mjadala ukawepo)
 
Sidhani kama mange anafanya hivi kwa matakwa yake, yote anayotupiaa kwenye acc yake anatumiwa na watu ambao wapo humu Tz. Nimekuambia anafanya hivi kama kazi, na wenzetu wapo wanaolipwa kwa kazi kama hizi.
CCM ilimtumia sana kipindi cha uchaguzi, alipiga ela za kumtukana lowassa.

Nasikia Makamba alimtapeli pesa zake walizokubaliana katika kampeni za uchaguzi , ndio maana akafumua lile bomu la makamba na mtaliano
Anajua siri nyingi sana za serikali, kuna ile moja alipewa US$ 3,000 na Ngeleja ili azime ndoto ya January kuwa waziri wa madini, na alilikisha email ya Mwamy kutoka kwa boss wa Barrick Gold, ile iliwachafua sana Makambaz.

Nifah
Baada ya hii ndiyo Mwammy aliachia email iliyozua talaka.
 
Mwenye namba ya mange anisaidie ili nimshauri maana kipindi tuko o level alinipenda sana
Nenda insta page yake namba zipo hadhadan kabisaa ila angalia na wewe asije akakufumulia yako maana Mange hana mmoja!
 
Hili suala la kushindwa kupata mtoto la Makonda,kama ni kweli.Hili suala lipo beyond his capacity,yeye anakosa gani kutokana na repduction defect yake?Mange amekosea kwa kweli,ila muda wa kuandika yote hayo yeye anautoa wapi jamani?Au mwenzetu anaishi sayari nyingine?

Maisha yamemchapa anatafutia pakumalizia hasira.
 
Back
Top Bottom